Mauaji Singida

ezra1504

Member
Nov 2, 2010
55
12
Operation ya M4C imeanza kitambo na imezunguka sehemu nyingi sana hasa ngombe za CUF na CCM mikoa ya kusini, iweje hapo kwa Mwigulu ndo zitokee vurugu? Inaonyesha huyu jamaa ni zero brain ndo maana akaandaa vijana wake wafanye fujo. Kuna watu wenye nguvu ya pesa na kisiasa km Lowassa, Rostam, Chenge, etc na wanakashfa kibao ila hawakuandaa vijana wa kupambana na wapinzani bali walikaa kimya na kuyapokea maneno ambayo yamepita na maisha yao yanaendelea vizuri kwa sasa mpk wanataka kugombea Urais na wanaongoza kamati za Bunge. Kwa wale wanaoneza chuki na propaganda chafu kuhusu kilichotokea Singida, mwambieni Mwigulu ajifunze siasa, kuandaa na kuwalipa vijana ili wafanye vurugu kuonyesha wanakupenda sana na wana uchungu na wewe ni utoto na uchanga kisiasa. Naomba kuwasilisha!
 
Yakhee mmeua msitafute mchawi ,mnasaka watu hadi ndani majumbani kama mpo msituni mnatafuta ndezi ? Ni bora mngemlimboka kuliko kumpotezea maisha yake.
 
Operation ya M4C imeanza kitambo na imezunguka sehemu nyingi sana hasa ngombe za CUF na CCM mikoa ya kusini, iweje hapo kwa Mwigulu ndo zitokee vurugu? Inaonyesha huyu jamaa ni zero brain ndo maana akaandaa vijana wake wafanye fujo. Kuna watu wenye nguvu ya pesa na kisiasa km Lowassa, Rostam, Chenge, etc na wanakashfa kibao ila hawakuandaa vijana wa kupambana na wapinzani bali walikaa kimya na kuyapokea maneno ambayo yamepita na maisha yao yanaendelea vizuri kwa sasa mpk wanataka kugombea Urais na wanaongoza kamati za Bunge. Kwa wale wanaoneza chuki na propaganda chafu kuhusu kilichotokea Singida, mwambieni Mwigulu ajifunze siasa, kuandaa na kuwalipa vijana ili wafanye vurugu kuonyesha wanakupenda sana na wana uchungu na wewe ni utoto na uchanga kisiasa. Naomba kuwasilisha!

Mnyika alikuwa hana sababu yoyote ya kwenda Singida wakati hata haijapita wiki moja tangu warushiane maneno na Mbunge wa jimbo hilo (Mwigullu). Ni dhahiri kabisa Mnyika alikwenda huko kwa jazba hasa baada ya kushindwa kuwasilisha uthibitisho kwamba Mwigullu ni mhanga wa EPA. Ni lazima Mnyika awe na kesi ya kujibu. Kama alifikiri kwenda Singida kungempa umaarufu zaid na kumpunguzia Umaarufu Mwiguluu basi hapo kachemka.
 
Mnyika alikuwa hana sababu yoyote ya kwenda Singida wakati hata haijapita wiki moja tangu warushiane maneno na Mbunge wa jimbo hilo (Mwigullu). Ni dhahiri kabisa Mnyika alikwenda huko kwa jazba hasa baada ya kushindwa kuwasilisha uthibitisho kwamba Mwigullu ni mhanga wa EPA. Ni lazima Mnyika awe na kesi ya kujibu. Kama alifikiri kwenda Singida kungempa umaarufu zaid na kumpunguzia Umaarufu Mwiguluu basi hapo kachemka.

kesi ipi kwa sheria ipi? poor argumentation
 
Mnyika alikuwa hana sababu yoyote ya kwenda Singida wakati hata haijapita wiki moja tangu warushiane maneno na Mbunge wa jimbo hilo (Mwigullu). Ni dhahiri kabisa Mnyika alikwenda huko kwa jazba hasa baada ya kushindwa kuwasilisha uthibitisho kwamba Mwigullu ni mhanga wa EPA. Ni lazima Mnyika awe na kesi ya kujibu. Kama alifikiri kwenda Singida kungempa umaarufu zaid na kumpunguzia Umaarufu Mwiguluu basi hapo kachemka.
Ndo maana tunasema mna mawazo mgando km ya Mwigulu mwenyewe. Hilo jimbo sio la Mwigulu kwani kuna watu wenye itikadi tofauti ktk jimbo, CCM, CUF, CHADEMA, NCCR, etc. sasa unawezaje kusema hakutakiwa kwenda huko? Ina maana ukiwa mbunge basi yeyote anayekupinga haruhusiwi kufika tena jimboni kwako? Hiyo ni operation ya chama na sio ya Mnyika na hapa hatushindanishi Mnyika na Mwigulu ila tunaangalia reality, inakuwaje mtu mwenye ukomavu wa kisiasa aandae vijana wa kuzuia mkutano wa chama kingine wkt yeye sio Polisi? kwa nini Polisi hawakusema Mnyika asije huku au Mwigulu hakwenda mahakamani ili Mnyika aambiwe shauri lipo mahakamani usiende Singida? Huo ni utoto wa Mwigulu kisiasa na hakuna lolote. Nimesema hapo juu, kuna siku zimetokea fujo kwa Lowassa au Chenge? Mangapi yamesemwa kuhusu wao na sasa yamepita? Mwambieni Mwigulu atulie siasa ndo jinsi ilivyo na sio kujihami na makundi ya vijana. Tumeona Igunga, alipokuwepo Mwigulu ndo fujo ziliibuka sasa yeye ni vurugu tu kwa kulipa vijana na ubabe kwa sababu ni kiongozi wa CCM.
 
[h=6]TAARIFA RASMI MBUNGE 1 WA CHADEMA AMUOMBA RADHI MWIGULU KWA KUMTUMIA MSG ZA VITISHO;

mwigulu ampa sharti la kutoa ufafanuzi kwa watanzania,,,mbunge huyo akasema viongozi wa chama chake wamekataa yeye kuomba radhi hadharani" hasira za kichaga:

1. 'Hivi wewe unajiamini nini? Kwa nini unatuzonga hivyo? Unadhani nchi hii ni ya ccm milele? Utajutia kimbelembele chako. Unadhani ni wewe tu unayejua sana? Ukabila kwenye chama chetu unakuhusu nini hata kama kweli kwa nini kututia aibu? Hata ufanyeje 2015 tunaingia ikulu na mjengoni tutajaa, Wangwe alijifanya kujua kama wewe leo yuko wapi?'

2. 'Bendera unayovaa kila siku shingoni itageuka sanda yako. Kila mtu ana haki ya kuvutia kwake lakini wewe umezidi. Hatuwezi kuitema keki tuliyokwishaionja'

3. 'Fahari yako itageuka kilio kwako. Utatutambua'

SOURCE: Tanzania Daima July 17, 2012.

masikini CHACHA WANGWE kumbe hawa jamaa walikuua!!

[/h]
 
Mwigulu ni sawa na wale viongozi wanaotumia vibaya madaraka!! Na hii itamgarimu sana kwa sababu uweka hazina tu anaonekana kakengehuka hajui namna ya kuzitumia zile pesa za bure bure za kujichotea tu kutoka kwenye makampuni yanayokwepa kulipa ushuru.
Kama hasikii, ngoja tumwache ila sidhani atakuwa hivyo hadi mwisho wa dunia, No way!!
 
TAARIFA RASMI MBUNGE 1 WA CHADEMA AMUOMBA RADHI MWIGULU KWA KUMTUMIA MSG ZA VITISHO;

mwigulu ampa sharti la kutoa ufafanuzi kwa watanzania,,,mbunge huyo akasema viongozi wa chama chake wamekataa yeye kuomba radhi hadharani" hasira za kichaga:

1. 'Hivi wewe unajiamini nini? Kwa nini unatuzonga hivyo? Unadhani nchi hii ni ya ccm milele? Utajutia kimbelembele chako. Unadhani ni wewe tu unayejua sana? Ukabila kwenye chama chetu unakuhusu nini hata kama kweli kwa nini kututia aibu? Hata ufanyeje 2015 tunaingia ikulu na mjengoni tutajaa, Wangwe alijifanya kujua kama wewe leo yuko wapi?'

2. 'Bendera unayovaa kila siku shingoni itageuka sanda yako. Kila mtu ana haki ya kuvutia kwake lakini wewe umezidi. Hatuwezi kuitema keki tuliyokwishaionja'

3. 'Fahari yako itageuka kilio kwako. Utatutambua'

SOURCE: Tanzania Daima July 17, 2012.

masikini CHACHA WANGWE kumbe hawa jamaa walikuua!!

Andika source yako vizuri sio unakurupuka tu: UHURU ndo source maana ninavyowajua nyie magamba hapo mngeshakimbilia mahakamani. Hilo gazeti la Tanzania Daima unajua linamilikiwa na kampuni gani? sasa km Chadema ndo wanahusika iweje wao ndo wajichafue na gazeti lao wenyewe? Ndo maana nasema nyie Mwigulu anafikiria badala yenu na anachowatupia basi mnaibuka nacho kama mbumbumbu vile. Hapa ht mtoto wa darasa la pili hana haja ya kufukiria sana mpk ajue huyu anayeleta uzushi huu hana uwezo wa kufikiri ht chembe. CHADEMA wamuue Wangwe then wajitangaze hadharani au ndo mambo ya Ulimboka na Kova unafikiri kila mtu anaibuka km anatoka shimoni sio? Jipange uje na jingine kwani hapa umechemka tayari, waambie na wenzio pia huyu jamaa asiwatumie kwani mnaonekana majuha.
 
Mnyika alikuwa hana sababu yoyote ya kwenda Singida wakati hata haijapita wiki moja tangu warushiane maneno na Mbunge wa jimbo hilo (Mwigullu). Ni dhahiri kabisa Mnyika alikwenda huko kwa jazba hasa baada ya kushindwa kuwasilisha uthibitisho kwamba Mwigullu ni mhanga wa EPA. Ni lazima Mnyika awe na kesi ya kujibu. Kama alifikiri kwenda Singida kungempa umaarufu zaid na kumpunguzia Umaarufu Mwiguluu basi hapo kachemka.

Kwani alikuwa anaombolezaaa? Kurushiana maneno siyo msiba. Hata kama wangetoka kurushiana maneno, kama ratiba yake ilikuwa anahitajika huko angekwenda tu. Na kwanini unang'ang'ania Mh. Mnyika ashtakiwe wakati yeye hakuua, hakuamuru mauwaji na wala hakuandaa kikundi cha mauaji. Kwanini mnamficha muhusika mkuu NCHEMBA???
 
Yakhee mmeua msitafute mchawi ,mnasaka watu hadi ndani majumbani kama mpo msituni mnatafuta ndezi ? Ni bora mngemlimboka kuliko kumpotezea maisha yake.
Bora wange mmua kama CCM walivyo muua wakala wa CHADEMA kule IGUNGA au jinsi walivyo mchinja wanyekiti wa chadema USA.
 
Back
Top Bottom