Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,605
Very sorry for thatStaki kukumbuka nilikuwa mdogo sana ila zile maiti nilizoshuhudia kwa macho yangu sitosahau
yaan alikuwa wakiuwa wanawawekea kwenye limti yaan kama mishikaki afu wanatupa mto kagera au wanawashonea kwenye magunia makubwa wanatupa mtoni dah ee mungu.
hAkuna bora mk uukwaiyoo bora abakwe
inasikitisha SANA damu zisizo na hatia zilipotea nyingi sana.
ivi kagame alikuwa hana mkono wake kwelii.
watu walibakwa mbele ya familia zao. kuchinjwa mbele ya wapendwa wao.
Hongera kwa kuwa "jf gold member" mkuu
Jifunze kunyoosha maneno sema kuwa Wahutu waliwabaka Watutsi mbele ya Familia zao na kuwachinja mbele ya Wapendwa wao. Acha uwoga kusema huo ukweli Mkuu. Wahutu ni Watu wabaya sana hapa duniani na ndiyo maana hata Mwenyezi Mungu kawapa ' laana ' mpaka sasa nchi yao haina maendeleo yoyote na amani haipo.
Baadhi ya picha zako ni za uwongo hazihusiani na mauaji ya Rwanda
MUNGU wangu Tusamehe,Kuna kijana alimzika girlfriend wake akiwa hai . Alishikiliwa mitutu na mapanga, kisa?? Wao walikuwa kabila mbili tofauti. Akikumbuka tukio lenyewe huku binti akimlilia, akili huwa zinamruka! So sad!
Duh! The picture spoiled my morning najuta kufungua jf alfajiri![]()
Ona huu unyama mambo yalikuwa mabayaKuna kijana alimzika girlfriend wake akiwa hai . Alishikiliwa mitutu na mapanga, kisa?? Wao walikuwa kabila mbili tofauti. Akikumbuka tukio lenyewe huku binti akimlilia, akili huwa zinamruka! So sad!
Hili ndo magufuli hataki ...yani mtu kagoogle mapichapicha ambayo hayahusiani anaweka!....hata vyombo vya habari vinatabia hiiBaadhi ya picha zako ni za uwongo hazihusiani na mauaji ya Rwanda