Mauaji Rwanda 1994

Mauaji Rwanda 1994

5d057d0d489f1997b05eae3d11290cfc.jpg
e9b7b0940c73a06f76c8a0a3b2ac2684.jpg
6410b3d6c1f2734475932c6ded22b391.jpg
388b8af14b2b0bbe72ed009feb3b3f3f.jpg
 
Staki kukumbuka nilikuwa mdogo sana ila zile maiti nilizoshuhudia kwa macho yangu sitosahau

yaan alikuwa wakiuwa wanawawekea kwenye limti yaan kama mishikaki afu wanatupa mto kagera au wanawashonea kwenye magunia makubwa wanatupa mtoni dah ee mungu.
 
Staki kukumbuka nilikuwa mdogo sana ila zile maiti nilizoshuhudia kwa macho yangu sitosahau

yaan alikuwa wakiuwa wanawawekea kwenye limti yaan kama mishikaki afu wanatupa mto kagera au wanawashonea kwenye magunia makubwa wanatupa mtoni dah ee mungu.
Very sorry for that
 
Duh! The picture spoiled my morning najuta kufungua jf alfajiri
 
watu walibakwa mbele ya familia zao. kuchinjwa mbele ya wapendwa wao.

Jifunze kunyoosha maneno sema kuwa Wahutu waliwabaka Watutsi mbele ya Familia zao na kuwachinja mbele ya Wapendwa wao. Acha uwoga kusema huo ukweli Mkuu. Wahutu ni Watu wabaya sana hapa duniani na ndiyo maana hata Mwenyezi Mungu kawapa ' laana ' mpaka sasa nchi yao haina maendeleo yoyote na amani haipo.
 
Mimi niliangalia movie nadhani ilikuwa inaitwa APRIL tareh nimeisahau nililia hatarii japo sijui kama ilikuwa kweli au kuigiza tuu. Ila ilitisha
 
Kuna kijana alimzika girlfriend wake akiwa hai . Alishikiliwa mitutu na mapanga, kisa?? Wao walikuwa kabila mbili tofauti. Akikumbuka tukio lenyewe huku binti akimlilia, akili huwa zinamruka! So sad!
 
Jifunze kunyoosha maneno sema kuwa Wahutu waliwabaka Watutsi mbele ya Familia zao na kuwachinja mbele ya Wapendwa wao. Acha uwoga kusema huo ukweli Mkuu. Wahutu ni Watu wabaya sana hapa duniani na ndiyo maana hata Mwenyezi Mungu kawapa ' laana ' mpaka sasa nchi yao haina maendeleo yoyote na amani haipo.


vita ya ukabila.

walaaniwe wahutu au watus?

au walaaniwe waliopandikisa mbegu ya ukabila?

walichezewa akili nakuingiwa mbegu ya chuki ikaota mioyoni mwayo kama wewe sasa chuki ya wahutu imekuingia bila kuwa na logic.
 
Kuna kijana alimzika girlfriend wake akiwa hai . Alishikiliwa mitutu na mapanga, kisa?? Wao walikuwa kabila mbili tofauti. Akikumbuka tukio lenyewe huku binti akimlilia, akili huwa zinamruka! So sad!
MUNGU wangu Tusamehe,
Mbona umeniliza uwiiioeeee auwiiiiiii
 
Duh! The picture spoiled my morning najuta kufungua jf alfajiri
Kuna kijana alimzika girlfriend wake akiwa hai . Alishikiliwa mitutu na mapanga, kisa?? Wao walikuwa kabila mbili tofauti. Akikumbuka tukio lenyewe huku binti akimlilia, akili huwa zinamruka! So sad!
Ona huu unyama mambo yalikuwa mabaya
 
Back
Top Bottom