gemmanuel265
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 8,485
- 18,053
Ilikuwa unabakwa na kuchinjwa na siyo kubakwa na kuachwa ukiendelea na maisha ya kawaidaBora kubakwa kuliko Ku
Kuchinjwaaisee
Ilikuwa unabakwa na kuchinjwa na siyo kubakwa na kuachwa ukiendelea na maisha ya kawaidaBora kubakwa kuliko Ku
Kuchinjwaaisee
Teh teh tehlla dada aliyefungwa kamba ana masongange ya maana kweli, lazima wauaji walifungua zip zao kwanza.
Labda misikiti ni michache au Uislamu haukuwa umeenea kiasi cha kuaminika.Najiuliza sana kwa nini mauaji mengi yamefanyika Kanisani tofauti na Misikitini au wengi walikuwa wanakimbilia Kanisani si misikitini na inasemekana waliokuwa wamejificha Misikitini wengi walipona
Je wauaji walikuwa hawaioni Misikiti au walikuwa wanaogopa kwenda?
Umemaliza mjadala mkuuKwa idadi ya waumini rwanda zaidi ya 90% wakristo.kule misikiti hakuna.so watu wengi walikimbilia makanisani.wauaji waliwafata huko huko kanisani wakawaua.
kingine ni kuwa unakuta kasisi ni mhutu na wanauliwa watusi kwachuki tuy.ivo aliweka pembeni imani yake ili auwe kikabila.iloo tuu.
Ila wewe jiulize huko middle east na kwingine wanaua kwa kumtukuza nani wa dini ipi?
Tabora zipo kambi kadhaa za wakimbizi toka Rwanda Yan wanasimulia mate so waliyopata hata hawatamani kurudi nyumbani kwao kabisa ,Nilipewa story na aliye kimbia ayo mauaji ilikuwa inatisha sana paka leo uwa atamani kurudi rwanda
Mkuu yani mm nachomba tanzania isitokee ayo majanga ni hatari sana unapoteza baba mama mjomba shangazi kaka kwa wakati mmoja ni kitu kigumu sanaTabora zipo kambi kadhaa za wakimbizi toka Rwanda Yan wanasimulia mate so waliyopata hata hawatamani kurudi nyumbani kwao kabisa ,
Kuna mama mmoja alisema alitetekeleza mtoto porini akiwa hai ili kuokoa maisha yake akaja tanzania
Kwenda kujificha msikitini ni kama kumkana Kristo heri hao waliokufa kuliko hao waliobaki hai kwa kujificha MsikitiniNajiuliza sana kwa nini mauaji mengi yamefanyika Kanisani tofauti na Misikitini au wengi walikuwa wanakimbilia Kanisani si misikitini na inasemekana waliokuwa wamejificha Misikitini wengi walipona
Je wauaji walikuwa hawaioni Misikiti au walikuwa wanaogopa kwenda?
WAHUKOHUKO HUYU ATAJUAJE MATUMIZI YA HERUFI "H"?Inaonekana hauyajui matumizi ya herufi "h"