SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,760
Kauli ya RC ndiyo unaita visingizio? Lawama zote kwa Polisi, na hii ni indicator kwa Simbachawene kuwa mambo siyo ya kitoto kwenye desk lake jipya.Mtaleta visingizio vyote ila sababu hasa ni laana, watu wa huko wana chuki sana!
Sent using Jamii Forums mobile app