Mauaji mkoa wa Lindi

Mauaji mkoa wa Lindi

kbm

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
5,224
Reaction score
1,685
Mwili wa mwanamke umeokotwa leo (akiwa amekufu) "alibakwa, macho yakatobolewa, akaingizwa 'vijiti' sehemu za siri na kutupwa kichakani".

"Ni mwanamke wa 3 - kukutwa katika hali hiyo"......!


Chanzo: MCL [push mobile]
 
Hivi huko Lindi huwa kuna jeshi la polis??
 
Tunaenda wapi jamani nchi hii...?
 
Kuna taarifa kwamba kuna mauaji ya kutisha huko Nachingwea hadi kusababisha wanawake kuandamana kwenda kwa mkuu wa wilaya. Mwenye taarifa zaidi atuambie vizuri.
 
Duh mama land vipi tena hizi tabia mbona mpya kwetu tunaishi kwa amani imekuaje?
R.I.P mama.
 
Mwili wa mwanamke umeokotwa leo (akiwa amekufu) "alibakwa, macho yakatobolewa, akaingizwa 'vijiti' sehemu za siri na kutupwa kichakani".

"Ni mwanamke wa 3 - kukutwa katika hali hiyo"......!


Chanzo: MCL [push mobile]

Hii inadalili za ushirikina....
 
Kwa matendo yanayofanywa na binadamu duniani kwa sasa,tuisubirie tu sodoma na gomora nyingine!
 
Mwili wa mwanamke umeokotwa leo (akiwa amekufu) "alibakwa, macho yakatobolewa, akaingizwa 'vijiti' sehemu za siri na kutupwa kichakani".

"Ni mwanamke wa 3 - kukutwa katika hali hiyo"......!


Chanzo: MCL [push mobile]
Ni kwanini binadamu anaweza kufanya unyama wa aina hii dhidi ya binadamu mwenzake? Hata simba hawezi kufanya hivyo. Baada ya hapo anakuwa na furaha gani duniani? Na yeye si kuna siku ataondoka? Inasikitisha sana na kuudhi sana. Zamani watu walikuwa wanajilinda dhidi ya wanyama wakali kama simba, chui na fisi. Leo binadamu anajilinda dhidi ya binadamu mwenzake! Ee Mungu uwape stahili yao watesaji na wauaji hao. RIP mama/dada!
 
Back
Top Bottom