81224]Dang! kuna watu wana vichwa vigumu aisee. Nimeshakwambia hii gari ipo kwenye EXCELLENT condition. Haya mayowe unayopiga hapa ni ya rangi na scratches. You are NOT in a position to judge this car bila kuifanyia inspection. Again: U DON'T KNOW SH*T ABOUT CARS. Ningechukua kimeo chochote mtaani nikakupakia rangi hapo ungefyata mkia na usingeongea lolote. Bottom line: 1) Acha wanaojua magari waongee 2) The way unavyoandika utumbo ni obvious kwamba hata ningeweka bei 1M you wouldn't be in a position to buy. On a second thought, hata ningeamua nikuhonge hiyo gari, bado ingebidi utafute kidume kingine uwe unapiga vibomu vya fuel na maintenance. A nutcase who starts banal and mediocre threads like
https://www.jamiiforums.com/celebrities-forum/148795-nampenda-martha-mwaipaja.html and
https://www.jamiiforums.com/jokes-utani-udaku-gossips/158016-kongota.html should, at least, know better than contributing to serious threads. Nakushauri uendelee kutumia muda wako kutafuta bongo movies' stubs online (
https://www.jamiiforums.com/tech-ga...m/154106-movie-za-kibongo-swahili-movies.html ) badala ya kuchangia things you don't know sh*t about. Next time utakapowashwa kuandika tena kwenye hii thread soma vizuri my previous responses to your posts and come up with something NEW. Do not use internet anonymity to keep repeating yourself like a cheap broken record and posting stuff that you can not back up with facts.