Matusi ya mke yamenikimbiza nyumba

Matusi ya mke yamenikimbiza nyumba

Mpaka watoto watatu wanazaliwa inamaana alikuwa ameyahifadhi wapi hayo matusi.
 
Halafu achana kabisa na masuala ya mahusiano hasa ya mke na Mme. Utampa ushauri watafarakana ila kuna muda watarudiana. Siku wakirudiana lazima utatajwa kuwa ulikuwa mshauri mkuu.
Kwa hiyo hayo masuala ni kuwaachia wao wenyewe

Kweli kabisa mkuu tena kuna wengine wakielewana mpaka uliyokuwa unamshauri atamwambia mkewe.

So ni bora awaache tu kwan mwisho wa siku maamuzi wanayo mwenyewe.
 
Mkuu hii nayo unaiita changamoto? Mwanaume kushindwa kusimama nafasi yake bado tuipe jina la changamoto.

kinachomsumbua huyu ndugu yangu ni watoto na mahusiano yalipoanza toka 2oo4 hadi leo 2o14 hayo nDO YANAYOMPA SHIDA TABU NA MANYNYASIKO HUYU JAMAA MPENI USHAURI NAMNA YA KUFANYA AACHANE NAE AU WAENDELEE AU AFANYEJE JAMANI JAMAA ANATIA HURUMA
 
Huyo jamaa yako hamuwezi huyo mwanamke wake cha kufanya awe nae mbali.

Mapenzi kwisha hapo
 
Kweli kabisa mkuu tena kuna wengine wakielewana mpaka uliyokuwa unamshauri atamwambia mkewe.

So ni bora awaache tu kwan mwisho wa siku maamuzi wanayo mwenyewe.

hahaha kakwama huyu jamaa
 
Nimewahi kujiuliza swali moja huwa sipati jibu labda Mnisaidie nyie jamani ukimpiga mke wako halafu akaenda police police watakutafuta mbaya tena na ndani wakuweke lakni mwanaume akipigwa na mke wake akaenda police kabla hajamaliza kuelezea police wameshaanza kukuzomea yaan unapigwa na mke wako!! tena wanakufukuza huwa ni kwann?
 
Kweli kabisa mkuu tena kuna wengine wakielewana mpaka uliyokuwa unamshauri atamwambia mkewe.

So ni bora awaache tu kwan mwisho wa siku maamuzi wanayo mwenyewe.

kweli ila sasa jamaa mpaka leo anasema akili yake imesimama haelewi kila akifikiria watoto wake analia tu
 

haloo
tatizo la kuoa mke bouncer
ukute jamaa kamwili kadogo y asipigwe
akileta ujinga!!pole yake!!mchaguage saizi yenu
 
Mwambie akuandikie talaka yako.....zzzz kama hiyo story ni ya kweli.
 

haloo
tatizo la kuoa mke bouncer
ukute jamaa kamwili kadogo y asipigwe
akileta ujinga!!pole yake!!mchaguage saizi yenu

natamani niweke picha yake ila siyo fair kamwanamke kenyewe kadogo tu na si kama jamaa hawezi mpiga ila anaona akimpiga atamuua.
 
Aisee mbona hiyo story inashindwa kusound kwa bongo yangu?

2004 wameanza mahusiano.
2007 ke akaanza tabia mbaya.
2009 wakaoana.

Alafu yale matatizo tunayoyashuhudia kwa me hapo yapo kwa ke.

na huyo me hajui nini afanye!!!!

ACHA KUTUDANGANYA NDUGU.
changanya na heading nafsi ya kwanza umoja
lakini stori nafsi yapili umoja
uwooongo mtupu hii stori
 
Back
Top Bottom