Una uhakika rafiki yako ni MWANAUME???!!!
hahaha unataka kusema ni mwanaume jina?
Una uhakika rafiki yako ni MWANAUME???!!!
Katika wanaume wavumilivu huyo naye yumo mana tangu 2007 hadi leo anavumilia tu.
Ila yakimzidia jibu atalipata tu mana huwezi jua kwan unaweza ukampa maamuzi ya tofauti mwisho wa siku ukaonekana mbaya..
Huyo mwanaume anayepigwa na mkewe yukoje jamani?Ni mpole sana,dhaifu sana au hana nguvu?
ndo nyienyie huku jf mwajifanya manunda ikipigwa simu tu ya mchepuko au mkewako unanyweeeeaaaaHata nikilewa chakari mwanamke hawezi thubutu kuninyanyulia mdomo au mkono hata kama gauni lake linafunika Hilux.
asanteeeeeeemwambie ndoa ni kuvumilia mbona wanawake wengi wanapigwa j3j5&ijumaa lakini wapo. hiyo nimeipenda! KUNYATA ANYATE KINYONGA AKINYATA KICHECHE ANANYATIA KUKU.
ndo nyienyie huku jf mwajifanya manunda ikipigwa simu tu ya mchepuko au mkewako unanyweeeeaaaa
Kweli mkuu amuulize vizuri kama anauhakiaka kuwa yeye ni mwanaume au wakiume. Haya malalamiko huwa hayatolewi na mwanaume bali utasikia solution tu juu taabu kama hizi tena huwa hawana tatizo la kufanya maamuzi magumu huwachukua muda mfupi kupata utatuzi.Una uhakika rafiki yako ni MWANAUME???!!!
Mkuu hii nayo unaiita changamoto? Mwanaume kushindwa kusimama nafasi yake bado tuipe jina la changamoto.acha maneno ya kejeli kama vile wewe ni mkamilifu ambaye hujawahi kukutana na changamoto katika maish
Ushauri mzuri sana huu na wanandoa wengi wa aina hii wataupenda mno kwani hiki ndicho wanachopenda kusikiamwambie ndoa ni kuvumilia mbona wanawake wengi wanapigwa j3j5&ijumaa lakini wapo. hiyo nimeipenda! KUNYATA ANYATE KINYONGA AKINYATA KICHECHE ANANYATIA KUKU.