Matusi wanaodaiwa chadema.

Mumwi

JF-Expert Member
Jan 9, 2011
592
122
Nimejaribu kufuatilia katika mikutano yote ya chadema hadi kuitwa wahaini, kumbe ni Dowans, Epa,kagoda,Richmond na kuwatetea wana angalau hali ya maisha ibadilike lakini ndo imekuwa balaa kwa chadema Ila hukumu yote iko kwa wananchi.

Matamko ni mengi kila mtu anajaribu kutoa tamko ili angalau asikike.
 
Sasa hivi kila mtu ndani ya CCM ni msemaji anza na mkuru mwenye Dr. Dr. Dr. Jeykei, Mama lao Sofi Simba, Guninita, Magufuli, Babu lao Tyson Wasiira, Mwanajeshi mstaafu Chiligati, Msema ovyo Tambwe.

Cha ajabu sasa wanasema Chadema wanatoa matusi na matatizo bila suluhisho, sasa wakiwapatia suluhisho ninyi mnaolipwa mshara kwa kazi hiyo mnafanya nini huko maofisi? Muwapishe sasa.
 
Sasa hivi kila mtu ndani ya CCM ni msemaji anza na mkuru mwenye Dr. Dr. Dr. Jeykei, Mama lao Sofi Simba, Guninita, Magufuli, Babu lao Tyson Wasiira, Mwanajeshi mstaafu Chiligati, Msema ovyo Tambwe.

Cha ajabu sasa wanasema Chadema wanatoa matusi na matatizo bila suluhisho, sasa wakiwapatia suluhisho ninyi mnaolipwa mshara kwa kazi hiyo mnafanya nini huko maofisi? Muwapishe sasa.

Nasema na ninarudia tena.............."Wanaume wenye uchungu na nchi hii ni wale waliopeleka suala la kupinga kulipwa Dowans mahakamani. Wengine wote wanaozunguka mikoani ni madebe matupu tu" Hawa hawana sera ila wanatafuta sifa za kitoto. Msijifanye waarabu. Mwenye akili kaelewa.
 
Sasa hivi kila mtu ndani ya CCM ni msemaji anza na mkuru mwenye Dr. Dr. Dr. Jeykei, Mama lao Sofi Simba, Guninita, Magufuli, Babu lao Tyson Wasiira, Mwanajeshi mstaafu Chiligati, Msema ovyo Tambwe.

Cha ajabu sasa wanasema Chadema wanatoa matusi na matatizo bila suluhisho, sasa wakiwapatia suluhisho ninyi mnaolipwa mshara kwa kazi hiyo mnafanya nini huko maofisi? Muwapishe sasa.

Yaa man umesomeka vizuri sana. Hao jamaa hamna kitu kichwani.....very unbelievable!
 
hivi maisha bora yataletwa na maandamano au,wadanganyika hebu kuweni na akili mnatumiwa kama pedi :hand:
 
Sasa hivi kila mtu ndani ya CCM ni msemaji anza na mkuru mwenye Dr. Dr. Dr. Jeykei, Mama lao Sofi Simba, Guninita, Magufuli, Babu lao Tyson Wasiira, Mwanajeshi mstaafu Chiligati, Msema ovyo Tambwe.

Cha ajabu sasa wanasema Chadema wanatoa matusi na matatizo bila suluhisho, sasa wakiwapatia suluhisho ninyi mnaolipwa mshara kwa kazi hiyo mnafanya nini huko maofisi? Muwapishe sasa.

Hapo kwenye red huyo ni TX kutoka Hifadhi ya Gombe ameitwa kuongeza nguvu baada ya kuona mapigo ya Chadema yanazidi kuibomoa CCM
 
Nimejaribu kufuatilia katika mikutano yote ya chadema hadi kuitwa wahaini, kumbe ni Dowans, Epa,kagoda,Richmond na kuwatetea wana angalau hali ya maisha ibadilike lakini ndo imekuwa balaa kwa chadema Ila hukumu yote iko kwa wananchi.

Matamko ni mengi kila mtu anajaribu kutoa tamko ili angalau asikike.

sisiem hawataki kusikia kabisa hayo maneno manake ndo nyavu za kuwakamata kwa wananchi!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom