Mumwi
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 592
- 122
Nimejaribu kufuatilia katika mikutano yote ya chadema hadi kuitwa wahaini, kumbe ni Dowans, Epa,kagoda,Richmond na kuwatetea wana angalau hali ya maisha ibadilike lakini ndo imekuwa balaa kwa chadema Ila hukumu yote iko kwa wananchi.
Matamko ni mengi kila mtu anajaribu kutoa tamko ili angalau asikike.
Matamko ni mengi kila mtu anajaribu kutoa tamko ili angalau asikike.