Mr Attorney
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 25,472
- 34,518
Bado amekaza fuvu, mwakani ataweka uzi mwingine kama huuInabidi bi harusi achukue ushauri siku zinaenda š
Bado amekaza fuvu, mwakani ataweka uzi mwingine kama huuInabidi bi harusi achukue ushauri siku zinaenda š
Duh..!Bado amekaza fuvu, mwakani ataweka uzi mwingine kama huu
HahahaDuh..!
Hiyo ni laana mkuu.
Bora ungemwambia, mwakani mwezi kama huu atakuwa yuko na mume wake.
HahahaPunguza dharau
Heshimu wanaume
Acha u much know na kujifanya kwamba unaweza kila kitu mpaka kuwatoa akili wanaume ambao wamekuzidi vitu vingi
Katika hao kuna wanaotafuta mke
Acha kuwa selective
Usidharau watu
Kuna wadada wawili nawajua wamezaliwa maisha bora tu wana hizo tabia hapo juu hawana waume hadi leo wako kwenye age 30s
Akibadili attitude chochote kinawezekana. Well wishes to her.Duh..!
Hiyo ni laana mkuu.
Bora ungemwambia, mwakani mwezi kama huu atakuwa yuko na mume wake.