Humu kukishakuwa na issue inayohusu wizi wa Chadema matusi ndio silaha yenu.Samahani bwana Khamia au sijui ndo mke wake ;Naomba nikuulize swali dogo tu, hivi ile trilioni 1.5 imeshapatikana?
(SAMAHANI LAKINI).
Kama matumizi ya kifisadi ya wanasiasa wa Chadema yamebanwa fedha zikawekezwa kwa waalimu na wanafunzi wakafualu, statistical correlation unayotaka ni ipi?Ufidadi kivioi wakati walikubaliana katika vika rasmi? Anyway, hoja yangu ni kujua statistical correlation kwenye hoja ya mleta Uzi! Sijui ungependa kumjibia?
MzalendoPosho za kifisadi za madiwani wa Chadema Jiji la Arusha zilizokatwa na aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji hilo ambaye sasa ni Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) zimezaa matunda baada ya jiji hilo kuwa la kwanza kitaifa kwa ufaulu Darasa la Saba.
Ikumbukwe kwamba ukataji wa posho hizo ambazo zilielekezwa kwenye elimu kulileta kizaazaa na chuki dhidi ya Dkt. Kihamia. Chuki hizo mpaka leo hii hazijapoa licha ya mafanikio yaliyopatikana.
Soma hiki kipande cha gazeti la Mwanachi la mwaka 2016;
View attachment 912787View attachment 912790
HahahahTunamuona jinsi anavyobana matumizi NEC hakuna chaguzi za hovyo hovyo , safi sana Kihamia
Hizi takwimu zenu za kupika zitawatokea puani tu. Time will tell. Mnalifanya jiji la Arusha lionekane kuongoza kitaifa kwasababu mnalitaka. Mnataka kutumia justification za kipambavu kama hii ili ionekane ccm wameondoa posho na hayo ndio matunda yake. Pathetic. Je kwingineko ambako wamefeli posho zao zinaliwa na chadema? Huu ni ujuha kabisa.Posho za kifisadi za madiwani wa Chadema Jiji la Arusha zilizokatwa na aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji hilo ambaye sasa ni Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) zimezaa matunda baada ya jiji hilo kuwa la kwanza kitaifa kwa ufaulu Darasa la Saba.
Ikumbukwe kwamba ukataji wa posho hizo ambazo zilielekezwa kwenye elimu kulileta kizaazaa na chuki dhidi ya Dkt. Kihamia. Chuki hizo mpaka leo hii hazijapoa licha ya mafanikio yaliyopatikana.
Soma hiki kipande cha gazeti la Mwanachi la mwaka 2016;
View attachment 912787View attachment 912790
Hao wa Chadema ndio walikuwa wanaongoza halmashauri, halafu wao ndio wanalialia sana mpaka wabunge wao wanawatetea, yani wanatetea wizi. Wamekua kama kagenge ka wanyang'anyi.INA MAANA MLIKATA POSHO ZA MADIWANI WA CHADEMA TU, LAKINI WA CCM HAMKUZIKATA?
HUJAJIBU SWALI, KUTOKANA NA KICHWA CHA HABARI NI KUWA BAADA YA KUBANA POSHO ZA WADIWANI WA CHADEMA BASI WANAFUNZI WAMEFAULU. SASA NAULIZA JE POSHO ZA MADIWANI HAZIKUBANWA?Hao wa Chadema ndio walikuwa wanaongoza halmashauri, halafu wao ndio wanalialia sana mpaka wabunge wao wanawatetea, yani wanatetea wizi. Wamekua kama kagenge ka wanyang'anyi.
Katika Historia ya Tanzania haijawahi kutokea wizi mkubwa kama huu wa trilioni 1.5. Mimi nawashauri mzirudishe coz ni fedha za Watanzania wote.Humu kukishakuwa na issue inayohusu wizi wa Chadema matusi ndio silaha yenu.
Umevinbiwa ???sio dhambi, jipya ni kwamba waliotuaminisha miaka yote kwamba ni watetezi wa wanyonge ni mafisadi na wanapobaniwa mianya yao ya ulaji wanatafuta namna ya kumchafua huyo anayewabania. Chadema hamna jipya.
Tunaomba matokeo kitaifa.Posho za kifisadi za madiwani wa Chadema Jiji la Arusha zilizokatwa na aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji hilo ambaye sasa ni Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) zimezaa matunda baada ya jiji hilo kuwa la kwanza kitaifa kwa ufaulu Darasa la Saba.
Ikumbukwe kwamba ukataji wa posho hizo ambazo zilielekezwa kwenye elimu kulileta kizaazaa na chuki dhidi ya Dkt. Kihamia. Chuki hizo mpaka leo hii hazijapoa licha ya mafanikio yaliyopatikana.
Soma hiki kipande cha gazeti la Mwanachi la mwaka 2016;
View attachment 912787View attachment 912790
Sijawahi sikia geita imeingia top 10 tena wilaya ya chatuPosho za kifisadi za madiwani wa Chadema Jiji la Arusha zilizokatwa na aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji hilo ambaye sasa ni Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) zimezaa matunda baada ya jiji hilo kuwa la kwanza kitaifa kwa ufaulu Darasa la Saba.
Ikumbukwe kwamba ukataji wa posho hizo ambazo zilielekezwa kwenye elimu kulileta kizaazaa na chuki dhidi ya Dkt. Kihamia. Chuki hizo mpaka leo hii hazijapoa licha ya mafanikio yaliyopatikana.
Soma hiki kipande cha gazeti la Mwanachi la mwaka 2016;
View attachment 912787View attachment 912790
Wapewe sifa walimu sio mkurugenzi kwani ??Posho za kifisadi za madiwani wa Chadema Jiji la Arusha zilizokatwa na aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji hilo ambaye sasa ni Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) zimezaa matunda baada ya jiji hilo kuwa la kwanza kitaifa kwa ufaulu Darasa la Saba.
Ikumbukwe kwamba ukataji wa posho hizo ambazo zilielekezwa kwenye elimu kulileta kizaazaa na chuki dhidi ya Dkt. Kihamia. Chuki hizo mpaka leo hii hazijapoa licha ya mafanikio yaliyopatikana.
Soma hiki kipande cha gazeti la Mwanachi la mwaka 2016;
View attachment 912787View attachment 912790
Ccm wameifilisi nchi sana tu. Mfano kesi zote za ufisadi huko mahakamani lazima mhusika alikuwa au ni mwanachama wa CCMEti mafisadi papa, na hayo mawazo ndio yanasababisha mkipata nafasi za uongozi muwe wezi, sasa kama ni hivyo Chadema iseme wazi kwamba wanachotafuta ni nafasi ya kuchukua nchi ili waibe. Wewe huitakii nchi mema