Matunda ya Arsenal

Mr Putin

JF-Expert Member
Feb 13, 2019
486
491
Na bado PGS na Rwandan coffee to be consumed in PSG stadium only at everything match.

20200122_162124.png
 
Kuna nini hapo cha ajabu mbona kama nusu nzima ni wanyarwanda tu. Huyo jamaa hana lolote ni dikteta tu tena leo nimesikia kawafunga jela wapinzani fulani.

Wakati ukuta, ipo siku atakuwa kama wengine tu na Rwanda ikafanya vizuri bila yeye. Amewanyanyasa sana watu wasiomsifia. He is not indispensable and in my view, he deserves the gallows.
 
Back
Top Bottom