matumizi yake makubwa

Punguza matumzi ya K na yapesa yatapungua. Pesa nyingi Inatumika Kufanyia marekebisho na maboresho K ili kuhakikisha inabaki katika STANDARD nzuri, hata baada ya UHARIBIFU endelevu unaoufanya. (Samahani lakini Mambo ya Walimwengu)

Hahaha, shem bhana. . .(samahani lakini mambo ya walimwengu) you gud?
 
Mwanaume ndio provider wa familia lakini ningeshauri kukaa na kuongea juu ya hilo na pia uwe open kwa mwenzio, It good to spend wisely your resources. Kuna baadhi wa wadada wanajali sana, wao huishi kutokana na hali iliyopo pia wanaijali kesho, wanaenda mbali hata kushare walivyonavyo wao katika jina la upendo na kusaidiana, lakini kuna wengine ni balaa kwenye kutumia, wao ni kutafuna tu.

Upendo ni kusaidiana hata kama sio kwa kuchangia matumizi, bali hata kwa kutumia kwa busara kile cha mwenzio na muweze kuendelea kuzalisha vingine zaidi na zaidi.
 
Mwanaume ndio provider wa familia lakini ningeshauri kukaa na kuongea juu ya hilo na pia uwe open kwa mwenzio, It good to spend wisely your resources. Kuna baadhi wa wadada wanajali sana, wao huishi kutokana na hali iliyopo pia wanaijali kesho, wanaenda mbali hata kushare walivyonavyo wao katika jina la upendo na kusaidiana, lakini kuna wengine ni balaa kwenye kutumia, wao ni kutafuna tu.

Upendo ni kusaidiana hata kama sio kwa kuchangia matumizi, bali hata kwa kutumia kwa busara kile cha mwenzio na muweze kuendelea kuzalisha vingine zaidi na zaidi.

Mapenzi ya Zama Za kale .you have no money your out
 
Of coz nampenda sana my girl friend but ana matumizi makubwa sana ya pesa na mengine siyo ya muhim sana na ukizingatia mimi kijanan najijenga bado. Naomba ushauri wenu ,je nimnyime au nifanyeje?

Sijui ulijitangaza vipi kwake hapo mwanzo, au ulijitambulishaje kwake!!
Isije kuwa ulimwambia kwamba wewe ni "Lord K" kwa maana ya lord halisi !!
 
Dear Natalia, Hii mentailty ndio tatizo la wengi hivi leo, Pesa haijawahi kuleta upendo popote pale, ila inapumbaza kwa muda.

Labda relations na ndio maana ndoa nyingi hazidumu maana wengi wanaolewa na walionazo saana, lakini mwishowe wanagundua kumbe tamaa/hitaji lao haikuwa FEDHA bali upendo, na upendo haununuliki bali unafiki ndio. Namnukuu Benjamin Franklin alisema "Money never made a man happy yet, nor will it. There is nothing in its nature to produce happiness. The more a man has, the more he wants. Instead of filling a vacuum, it makes one" kwa hiyo inategemea mtu na mtu, ila ni vyema pesa isiwe kigezo cha kwanza, maana hata kama huna ukiitafuta kwa bidii itakuja tu.

Mapenzi ya Zama Za kale .you have no money your out
 
kwani wewe ni baba yake mpaka akuchomoe mijihela kama ATM za Umoja switch...
Unajua kuna wadada wengine sijui walikosa matunzo bora kwa wazazi wao, wakipata mwanume wao ni kuandika orodha ya matumizi kama bajeti ya serikali...
 
Daaaah Natalia mbona unamkatisha tamaa kijana wa watu! Hebu muda mwingine usiseme ukweli!

Daaah mtoto ya New york unatoa maneno kama jirani yangu hapa tandale!

Unaingiaje uwanjani kucheza mpira huna miguu.huna pesa kaa chonjo sio kuharibia watu maisha .mwanaume pesa huna pesa unakuwa Kama Chura ndani ya maji.watu wanachota maji na Chura kutwa kulalamika maji yangu maji yangu .
 
kwani wewe ni baba yake mpaka akuchomoe mijihela kama ATM za Umoja switch...
Unajua kuna wadada wengine sijui walikosa matunzo bora kwa wazazi wao, wakipata mwanume wao ni kuandika orodha ya matumizi kama bajeti ya serikali...

Kaka huu ndio ukweli .mwanaume does better asipooa ndio maana rich men are single au wameoa Mara kibao.hakuna mwanamke anaependa mwanamme maskini kama yupo atakuwa na low self esteem or insecurity and she will be willing to settle for less.Ili tu aonekane Ana bwana
 
Of coz nampenda sana my girl friend but ana matumizi makubwa sana ya pesa na mengine siyo ya muhim sana na ukizingatia mimi kijanan najijenga bado. Naomba ushauri wenu ,je nimnyime au nifanyeje?

hahhha sasa hiyo ndio standard yake...either unaukubali mtumizi yake ama unambwaga.
hamna mbunye ya bure tofauti ni bei tuu!!
 
Mapenzi ya Zama Za kale .you have no money your out



That exists only in your own world,we have seen a lot of people who starts marriage life with nothing and they live happily like they own tha world,and with good plans and hard work they come to achieve..So never try to convice the society that without money life can t go on.STOP SPOILING OUR YOUNG GIRLS..
 
Mpe kisogo

Mademu wangapi wameishiwa kuolewa na watu waliowapokea airport hapa USA.its very sad Mtu rent hulipi vizuri and you can't wait to move in with Mtu katoka bongo kusoma.matokeo mpekeaji anatimia ADA .Aibu Tupu
 
of coz nampenda sana my girl friend but ana matumizi makubwa sana ya pesa na mengine siyo ya muhim sana na ukizingatia mimi kijanan najijenga bado. Naomba ushauri wenu ,je nimnyime au nifanyeje?

hapo nilipobold naomba nikupe madhara yake kisha wewe ndio utoe uamuzi wako mwenyeweee

1- ukimnyima mahitaji yake - sie wenye uwezo wa kumtimizia lazma tutaku#$%mbea tuu na lazma tutamla ndogo.
2- nifanyeje- kama unaona wewe bado kijana unajijenga hukustahili kuwa na demu mkali na mwenye mahitaji mengi na makubwa kuzidi umri wako na kipato chako...ungekamata dada wa kazi hana gharama kabsaaa.

Ushauri wangu...."ukitaka kumwendesha farasi mweupe ujue pia kuna gharama zake za matunzo"
 
tit-for-tat. na wewe ongeza matumizi mpaka k ifubae na kuwa kama tambara.
 
Hatuuzi ILA USTAARABU KWENYE UTUMIZI WA MALI ZA UMMA NI MUHIMU!!!!!!!! We umeikuta katika hali nzuri na sio wa kwanza kuitumia, na kama unajua hutoiweka ndani, wapitia tu baasi hakikisha WAITUNZA na kuifanyia renovation za mara kwa mara ili Wenzio wakija kutumia waikute katika hali na ubora wa kuridhisha!!!!

Wee kijana mdomo wako unakutana na mswaki mara ngapi kwa mwaka?!
 
Of coz nampenda sana my girl friend but ana matumizi makubwa sana ya pesa na mengine siyo ya muhim sana na ukizingatia mimi kijanan najijenga bado. Naomba ushauri wenu ,je nimnyime au nifanyeje?
1.Mpe tu na wala chenji usiulizie, ndio uanaume huo. usipo mpa anaweza akaamua kuzitafuta hata sehemu isiyofaa
2. Halafu....anyway najua umeteleza, '' sisi wanaume huwa hatulalamikii hizi ghalama za mapenzi '' love costs'' sana sana huwa tunajipeleka wenyewe na tunatoa wakati mwingine bila hata kuombwa.
 
Back
Top Bottom