uporo wa wali ndondo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,455
- 2,237
Hahahaahah nimekumbuka jamaa yangu mmoja alikuwa anampa makavu demu mmoja kajichubua balaa,alafu ni wakuringi sana mshikaji alimpa shit moja nikikumbuka uwa nacheka sana eti " uringia weupe wakati mwenzio nyani kauwekea matakoni" hahahhahaha .