madam nitake radhi, umri huu kuwa na gelofriend. ntakusemea kwa baba ngina na siku ya upatanisho nakuja na sime, ukijidai huna kosa na kuleta ubishi nafnya kama yule polisi wa magomeni kule kongowe
Ukweli tayari unaujua kwamba haupo pekee yako unachotaka kuakikisha ni nini sasa, kwamba yupo round ya ngapi ama? Save ur self from heart diseases get some rest..Muhimu kukaba hadi penati
Ikibidi nakaba hadi refa na kocha
Asipokukaba yeye akukabe nani????
Kaa hupendi baki singo naona huwezi kumudu album.
Hujawahi ona timu imezidiwa ikakaba washabiki, njoo kwa mtogole tukufunze.
una mpango gani na maisha yangu kunialika huko kwa mtogole.
Mchana mzima unakaa kimya wala huhangaiki kumpigia simu bf wako. Saa 7 au 8 usiku eti ndo unaanza kumpigia, asipopokea kwa sababu yuko usingizini unaanza milawama, eti kashindwa coz yuko na mwanamke mwingine, mara oooh hunipendi vinginevyo ungepokea simu yangu na mengine mengi. Acheni hizo kina dada.
Kama mwanaume ni mkware anaweza akapokea simu yako na bado wakati anaongea na wewe hiyo saa 6, au 7 usiku pembeni kipo kidosho kinaramba koni. We unaridhika eti yuko salama kumbe ukikata simu tu, mtanange unaendelea.
Simu sio mlinzi wa penzi lako kwa bf au gf wako. Ishi tu kwa matumaini upate amani moyoni mwako!
Ni hayo kwa leo!
Wasalaaam!
Nisamehe, nilijua stori yako kumbe ya 'rafiki' yako. Sasa umri huo bado una marafiki wenye magelofrendi eh?
kina dada wanaojitambua hawapigi wanapigiwa, na ukijampata anayejitambua usijelia humu ooh mbona hanipigii hadi nimpigie. Kina kaka bwana, hawaishi kulalamika.
Mpe pole swaiba lol!Mchana mzima unakaa kimya wala huhangaiki kumpigia simu bf wako. Saa 7 au 8 usiku eti ndo unaanza kumpigia, asipopokea kwa sababu yuko usingizini unaanza milawama, eti kashindwa coz yuko na mwanamke mwingine, mara oooh hunipendi vinginevyo ungepokea simu yangu na mengine mengi. Acheni hizo kina dada.
Kama mwanaume ni mkware anaweza akapokea simu yako na bado wakati anaongea na wewe hiyo saa 6, au 7 usiku pembeni kipo kidosho kinaramba koni. We unaridhika eti yuko salama kumbe ukikata simu tu, mtanange unaendelea.
Simu sio mlinzi wa penzi lako kwa bf au gf wako. Ishi tu kwa matumaini upate amani moyoni mwako!
Ni hayo kwa leo!
Wasalaaam!
kwanza shukuru umepigiwa, wengine hata hatupigi hiyo simu, twakuacha uhangaike mwenyewe
Mpe pole swaiba lol!
Ndio faida za kuhangaika na visichana,
Mwambie siku nyingine atulize moyo kwa kudeal na mwanamke.
My dia kuingia leba au kuwa na miaka mingi haimfanyi mtu kuwa mwanamke,madam canta, anayefanya hivyo ni mwanamke tena mwenye watoto, ameshaingia leba zaidi ya mara mbili tangu kuolewa kwake
nakubaliana na ulolisema madam........ila mie nadhani hii maneno ni 'two way process' na ninachoongelea hapa ni hiyo 'extreme case' ambayo hadi mtu anaboreka na kujuta kuoa mtu wa aina hiyo
Kwanza namtafuta, siku tatu hajarudi home anadai yuko tuisheni ya homework.....................huyu mtoto huyu!
Niko kwenye foleni baba. Nakuja, by ijumaa ntakuwa nimefika
Mchana mzima unakaa kimya wala huhangaiki kumpigia simu bf wako. Saa 7 au 8 usiku eti ndo unaanza kumpigia, asipopokea kwa sababu yuko usingizini unaanza milawama, eti kashindwa coz yuko na mwanamke mwingine, mara oooh hunipendi vinginevyo ungepokea simu yangu na mengine mengi. Acheni hizo kina dada.
Kama mwanaume ni mkware anaweza akapokea simu yako na bado wakati anaongea na wewe hiyo saa 6, au 7 usiku pembeni kipo kidosho kinaramba koni. We unaridhika eti yuko salama kumbe ukikata simu tu, mtanange unaendelea.
Simu sio mlinzi wa penzi lako kwa bf au gf wako. Ishi tu kwa matumaini upate amani moyoni mwako!
Ni hayo kwa leo!
Wasalaaam!
Hivi mtu unaweza kumwongelea mwanamke unayempenda hovyo namna hii? Eti mwanamke kaingia labour mara mbili. . Ooh ananipigia simu saa 7 yani unasound una hasira kabisa nazani hilo penzi limefika mwisho uyo dada ndo hajatambua na hakukupatia wewe mana wanaume wa namna hii unamtia nidhamu kabla ujawa nae ajue kuna kupenda kweli! Labda unachangamsha genge tu mi binafsi siwezi piga simu muda huo manake hapo si bure unamzingua binti wa watu hawezi anza tu kukupigia mida michafu iviivi si ndo mmezoeshana! labda kama ulioa mwendawazimu!
Hivi mtu unaweza kumwongelea mwanamke unayempenda hovyo namna hii? Eti mwanamke kaingia labour mara mbili. . Ooh ananipigia simu saa 7 yani unasound una hasira kabisa nazani hilo penzi limefika mwisho uyo dada ndo hajatambua na hakukupatia wewe mana wanaume wa namna hii unamtia nidhamu kabla ujawa nae ajue kuna kupenda kweli! Labda unachangamsha genge tu mi binafsi siwezi piga simu muda huo manake hapo si bure unamzingua binti wa watu hawezi anza tu kukupigia mida michafu iviivi si ndo mmezoeshana! labda kama ulioa mwendawazimu!
Hivi mtu unaweza kumwongelea mwanamke unayempenda hovyo namna hii? Eti mwanamke kaingia labour mara mbili. . Ooh ananipigia simu saa 7 yani unasound una hasira kabisa nazani hilo penzi limefika mwisho uyo dada ndo hajatambua na hakukupatia wewe mana wanaume wa namna hii unamtia nidhamu kabla ujawa nae ajue kuna kupenda kweli! Labda unachangamsha genge tu mi binafsi siwezi piga simu muda huo manake hapo si bure unamzingua binti wa watu hawezi anza tu kukupigia mida michafu iviivi si ndo mmezoeshana! labda kama ulioa mwendawazimu!