Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
prevention is better than CURE!....watu wameshajiandaa lkabla ya kuingia ndani...mweh
prevention is better than CURE!....watu wameshajiandaa lkabla ya kuingia ndani...mweh
hahahahahah!Leo utakula senksi nyingi sana! Sasa fanza hivi: Delete posti zako hizi zenye hii twisheni. Bimkubwa hachelewi kuwa anapitia humu! Chondechonde!
not fair at all as MJ1 saidhehehe!
I CAN HAVE FRIENDS OF MY OWN,lakini SHE WILL NOT!.......adhawaisi i am going to need a lots of justifications
Mimi hizi topic za namna hii huwa sipendi kuchangia zinanikumbushiaga machungu.
Wangu alikuwa ni yule wa YAKE YAKE YANGU YAKE. Nikitoka kazini tu anaponipick anachukua simu yangu na kuiweka mfukoni kwake ndo huipati hadi kesho anapokushusha ofcn asubuhi. Akifika nyumbani anaikaguaaaaaa na maswali anayatunga mbona hii hapa missed call haina jina ni nani? Mwambie ni mtu alinibeep simjui ni kosa unamjua na ndo mana hujasave jina yaani ni kwesi. But ya kwake kwanza ina pin code kama nne kisha kila aingiapo ****** yuko nayo yaani hadi akilala anaiweka chini ya mto wake ah!! Bahati yake sikuwaga na tabia ya ugomvi.
POOR her!watu wameshajiandaa lkabla ya kuingia ndani...mweh
better i,NOT BE FAIRnot fair at all as MJ1 said
heheheh!POOR her!
hahahahahah!
umeniua mbavu
enewei,ngoja nizidiliti.lakini umesha zikoti sasa!labda uzidiliti wewe kwanza
hehehehe!
nimecheka mpaka nimelia
lakini nakupongeza sana,WEWE UMEANGALIA MBALI SANA
better i,NOT BE FAIR
kwa sasa atanisamehe kwakweli!mpaka labda akiwa na watoto kadhaa TUKIJAALIWA!
dar hii noma mazee,watu watakusaidia kupiga starter ukijifanya mzungu!lakini mimi mila kama kawa
ha ha haaaaaaaaaaaaaakuna lijamaa lilimpigia sim waif tu bii wake ,bahati mbaya sim kapokea toto lake la kiume, jamaa lilianza kumsagia mwanawe bila kumuuliza. nanukuu " wee mshenzi nimekufuma leo, kumbe nikiondoka unaingia wewe sio? basi nikirudi nampa talaka umuowe wewe" mwisho wa kunukuu. yule mtoto akajibu "mama yupo jikoni", jibaba likabaki uso mdogo kama "mgombea ubunge" alokosa kura.
hizi sim zina balaa unprediktebo.
...hata hivyo unapaswa kuwa huru na kuipokea simu ya mumeo!G usicheke...alikuja jioni kavimba hafai, malumbano yakaanza hapo, na kuambiwa kama namfikira tofauti bac nakosea sana, je kama ulikuwa unapigiwa cmu nimepata matatizo, ajali/nimeumwa ghafla?....nimejitahidi hiki kitendo kimenishinda kabisa....
wewe menifurahisha sana leo...!ngoja nitaku pi-emu unipe kontakti zako tuonane jackies baadae upate kinywaji chakomila ni muhimu kuliko katiba ya nchi. nasubiri azeeke zeeke tu niingie porini.
kuna lijamaa lilimpigia sim waif tu bii wake ,bahati mbaya sim kapokea toto lake la kiume, jamaa lilianza kumsagia mwanawe bila kumuuliza. nanukuu " wee mshenzi nimekufuma leo, kumbe nikiondoka unaingia wewe sio? basi nikirudi nampa talaka umuowe wewe" mwisho wa kunukuu. yule mtoto akajibu "mama yupo jikoni", jibaba likabaki uso mdogo kama "mgombea ubunge" alokosa kura.
hizi sim zina balaa unprediktebo.
G usicheke...alikuja jioni kavimba hafai, malumbano yakaanza hapo, na kuambiwa kama namfikira tofauti bac nakosea sana, je kama ulikuwa unapigiwa cmu nimepata matatizo, ajali/nimeumwa ghafla?....nimejitahidi hiki kitendo kimenishinda kabisa....
..Geoff, hebu weka hiyo kitu hapa nina imani utakuwa umetusaidia wengi humu...lakiii unajua kuna mbinu mpya imegundulika namna ya kuiblock simu yako unapolala kwa CALL BARRING!ukiweka hiyo unamuachia simu wife hata siku mbili haiiti,wala sms haiingii lakini inatoa tu
vipi niiweke hadharani..........?
mila ni muhimu kuliko katiba ya nchi. nasubiri azeeke zeeke tu niingie porini.