The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,875
Najiuliza ni kuwa sasa ni fasheni au
ndio labda waofanya hivi wanafanya makusudi
pengine wakihisi wanakuwa more sexy...hasa wasichana....
unakuta mtu mzima,na shule kaenda lakini katika mazungumzo
unasikia anasema nanilii..
akimaanisha nanihii,
zamani ilikuwa ni watoto tu ndo wenye kukosea huku,
siku hizi wasichana wakubwa tu ndo zaidi....
na idadi inaongezeka.......
sasa huwa najiuliza hivi kusema "nanilii"
ni fasheni au kunasababishwa na nini??????????
ndio labda waofanya hivi wanafanya makusudi
pengine wakihisi wanakuwa more sexy...hasa wasichana....
unakuta mtu mzima,na shule kaenda lakini katika mazungumzo
unasikia anasema nanilii..
akimaanisha nanihii,
zamani ilikuwa ni watoto tu ndo wenye kukosea huku,
siku hizi wasichana wakubwa tu ndo zaidi....
na idadi inaongezeka.......
sasa huwa najiuliza hivi kusema "nanilii"
ni fasheni au kunasababishwa na nini??????????