matumizi ya neno" nanilii"

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,110
115,875
Najiuliza ni kuwa sasa ni fasheni au
ndio labda waofanya hivi wanafanya makusudi

pengine wakihisi wanakuwa more sexy...hasa wasichana....

unakuta mtu mzima,na shule kaenda lakini katika mazungumzo
unasikia anasema nanilii..
akimaanisha nanihii,

zamani ilikuwa ni watoto tu ndo wenye kukosea huku,
siku hizi wasichana wakubwa tu ndo zaidi....
na idadi inaongezeka.......

sasa huwa najiuliza hivi kusema "nanilii"

ni fasheni au kunasababishwa na nini??????????
 
ha ha ha sasa unapomdekea mtu
na wewe uko na mtu?????
 
Najiuliza ni kuwa sasa ni fasheni au
ndio labda waofanya hivi wanafanya makusudi

pengine wakihisi wanakuwa more sexy...hasa wasichana....

unakuta mtu mzima,na shule kaenda lakini katika mazungumzo
unasikia anasema nanilii..
akimaanisha nanihii,

zamani ilikuwa ni watoto tu ndo wenye kukosea huku,
siku hizi wasichana wakubwa tu ndo zaidi....
na idadi inaongezeka.......

sasa huwa najiuliza hivi kusema "nanilii"

ni fasheni au kunasababishwa na nini??????????

Nanihii inaweza kuwa na maana tofauti katika mazungumzo, lakini siku hizi neno hili inatumika sana katika mazungumzo ya kikubwa ambayo kauli ya "Ashakum si matusi" ingebidi itamkwe kabla ya neno husika.
 
Nanihii inaweza kuwa na maana tofauti katika mazungumzo, lakini siku hizi neno hili inatumika sana katika mazungumzo ya kikubwa ambayo kauli ya "Ashakum si matusi" ingebidi itamkwe kabla ya neno husika.

Mi mwenyewe ni mmoja wa nanilíì, nineno tu bwana, tokea utoto wangu nimekua nikisema nanilii sikujua ukikua inabidi uanze kusema nani hii, duh ngum kweli kweli.
 
Mi mwenyewe ni mmoja wa nanilíì, nineno tu bwana, tokea utoto wangu nimekua nikisema nanilii sikujua ukikua inabidi uanze kusema nani hii, duh ngum kweli kweli.

aisee kumbe...
baji uje kunidekea hivyo huku pm lol
 
Back
Top Bottom