- Thread starter
- #21
Hii bajeti ni ya nani Mr Rocky???
Mhhhh aaahhh mhhhh aaahhh Dena Amsi kwani picha huoni hata maneno pia huoni
Nilikuwa napita tuu nikajikuta nimepiga picha
paty ni balaa aiseaiseeeeeeeeeeeeeeeee. uyu anapishana na mimi kidooooooooooooooooogo, iyo pesa ya wanawake achanganye kwenye pombe hapo tutakuwa sawa. drink beer to save water... chezea monde wewe
hiyo ya bia na hiyo nyingine si unajua inachanganywa pamoja
Preta sasa mbona sikuoni kwenye mambo yetu yale aisehuyu tunafanana kabisa....ila tofauti yangu na yeye ni hapo kwenye prostitutes........
MASKINIJEURI zote hizo zinaingia kwenye hayo mengineyo hata kama hazitatosha zinavushwa mwezi unaofuataHapo naona umesahau michango ya kijamii mkuu (Harusi, Misiba na kuchangia Chama chako cha Siasa
madame x hakuna bana ni nyie mnatufanya tutenge budget kwa ajili hiyo unafikiri wasingekuwepo budget ingekuwepokwanini mnawalani wauzaji kumbe soko lina bajeti kubwa hivi?
Dodoma one ni balaa aiseHayo ndio matumizi sahihi kabisa ya ngawila wewe.
pmwasyoke mwangalukaMwazuka Bwanji Mr Rocky?
Last edited by a moderator: