Matumizi ya mitandao ya Kijamii

Matumizi ya mitandao ya Kijamii

Liu Yun

Member
Joined
Aug 6, 2023
Posts
11
Reaction score
13
Nimekuwa nikitazama umuhimu wa mitandao ya Kijamii katika nchi yetu, lakini bado tunatatizo kubwa Sana la uelewa wa baadhi ya watu. Kwamfano: mtu kauliza swali, "Kuna watu watatoa majibu mazuri zuri tuu" lakini kuna watu "Hushusha matusi na vitu visivyo eleweka"

Hii ni kwanini?
 
Nimekuwa nikitazama umuhimu wa mitandao ya Kijamii katika nchi yetu, lakini bado tunatatizo kubwa Sana la uelewa wa baadhi ya watu. Kwamfano: mtu kauliza swali, "Kuna watu watatoa majibu mazuri zuri tuu" lakini kuna watu "Hushusha matusi na vitu visivyo eleweka"

Hii ni kwanini?
Matumizi ya mitandao ya kijamii yanatofautiana na jamii husika, kuna mambo ya hovyo hapa , wakati wenzetu ulaya hawafanyi hayo

Ila kuna mambo yanafanana

One thing about platform hizi zimewapa sauti baadhi ya watu
 
Matumizi ya mitandao ya kijamii yanatofautiana na jamii husika, kuna mambo ya hovyo hapa , wakati wenzetu ulaya hawafanyi hayo

Ila kuna mambo yanafanana

One thing about platform hizi zimewapa sauti baadhi ya watu
Pia kuna mambo ya hovyo mitandaoni ambayo huko Ulaya wanayafanya sana kuliko hapa
 
Back
Top Bottom