sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Last edited by a moderator:
Nzuri sana ijaribu, bali nzuri ile uliyotengeneza mwenyewe! ukitaka nitakufundishaHii kitu huwa situmii hata kidogo sijui test yake
Wapishi wakija watatusaidia
Nzuri sana ijaribu, bali nzuri ile uliyotengeneza mwenyewe! ukitaka nitakufundisha
Hii hapa:Mwaga basi maujuzi Fadhili tusizidi kujiua na vya kwa duka.
Jibu toshakwenye salad madame......
Kwenye kachumbariiiiiii
au hata ukila chips, samaki wa kukaanga unaweka ketchup pembeni na mayonaise yako......
Sie wengine hadi kwenye mikate kwa mbaaaaaali unaweka mayonnaise
Naitumia mara chache kwenye chips,salad yoyote ile na kwenye mkate wa brown hapa na mix na nyanya,tango,parachichi na yai kidogo,.
Hahah hata mm wakati niko umri flan ilikuwa haipandi kabisaaa,.ile harufu ndio usiseme,lakini pia si mtumiaji wa hii kitu sana naweza kuitumia kwenye chakula changu kwa mwaka mara 3..si kionjo muhimu sana kwangu hiki..Mimi kwakweli mayo imenishinda kabisaa....labda nitie kwenye nywele.
Shoti..hongera mpaka kwenye mkate
Hahah hata mm wakati niko umri flan ilikuwa haipandi kabisaaa,.ile harufu ndio usiseme,lakini pia si mtumiaji wa hii kitu sana naweza kuitumia kwenye chakula changu kwa mwaka mara 3..si kionjo muhimu sana kwangu hiki..
Aisee mnakulaje hiyo kitu?
Akuuu😄Haha...nikajua ni kionjo pendwa.
You are missed.
Akuuu
Tell me something darlin,are you "v,v"?