Matumizi ya lugha zinazo shusha hadhi ya jf.

Dec 11, 2010
3,321
6,328
Wakuu.
Natambua heshima ya hali ya juu ya jukwaa hili ikiwa ni pamoja na kuwa daraja la kupitisha habari na taarifa kutoka upande mmoja kwenda upande mwingine.

Hata hivyo mara kadhaa hapa jamvini kumekuwa na matumizi ya lugha zenye ukakasi na nyingine zikiwa na ncha kali kana kwamba hazitoki kwenye mitima ya Ma great thinkers. Wakati mwingine huwa napata tabu kuwa huenda jamvi linakosa udhibiti na kuvamiwa na watoto walio kosa staha na ku sheheni lugha za kule fb au lugha za balehe na kuvunja ungo.

Unakuta great thinker anakuja kutaka msaada mathalani wa kuchagua kozi anasema ame maliza XUL, hivyo anataka ku-join VACITY. Au unakuta kwenye mjadala wa maana mtu anachangia HABARI YAKO BHANAA! Nk.

Naomba ukimaliza kusoma uzi huu weka mifano ya lugha usizopenda zitumike kisha mkanye mwingine ili asi tuchafuliwe na kuonekana wote ni walewale.
 
Platozoom, huyu Marcopollo anajaribu kuonesha mifano ya matumizi mabovu (soma maovu) ya lugha ya Kiswahili hapa jamvini. Kusema ukweli ni matumizi yanayokera. Yanakera hasaa!
 
Nakumbuka wakati fulani invisible alizungumzia hii issue ya hawa fab-turned-jf members na lugha zao za kitoto.Alisema kama hawa watoto wataendelea na hizo lugha tunatakiwa kuclick "report abuse" lakini nadhani watu hawajazingatia sana.Personally nakerwa sana na aina hiyo ya uandishi
 
Wakuu.
Natambua heshima ya hali ya juu ya jukwaa hili ikiwa ni pamoja na kuwa daraja la kupitisha habari na taarifa kutoka upande mmoja kwenda upande mwingine.

Hata hivyo mara kadhaa hapa jamvini kumekuwa na matumizi ya lugha zenye ukakasi na nyingine zikiwa na ncha kali kana kwamba hazitoki kwenye mitima ya Ma great thinkers. Wakati mwingine huwa napata tabu kuwa huenda jamvi linakosa udhibiti na kuvamiwa na watoto walio kosa staha na ku sheheni lugha za kule fb au lugha za balehe na kuvunja ungo.

Unakuta great thinker anakuja kutaka msaada mathalani wa kuchagua kozi anasema ame maliza XUL, hivyo anataka ku-join VACITY. Au unakuta kwenye mjadala wa maana mtu anachangia HABARI YAKO BHANAA! Nk.

Naomba ukimaliza kusoma uzi huu weka mifano ya lugha usizopenda zitumike kisha mkanye mwingine ili asi tuchafuliwe na kuonekana wote ni walewale.


Good observation; hapa panatakiwa kuwa mahali patakatifu ambapo watu wananufaika kwa kushare ideas, opinions na ushauri wa aina mbalimbali jambo ambalo lingetufanya washiriki wote tunufaike kwa aina moja au nyingine, kashfa na lugha chafu kwa kweli zina defeat the whole purpose and objectives of this forum, kwa mwendo huu the real great thinkers watakwepa kushiriki hapa and we all become loosers if not orphans, nafikiri wahusika wajaribu kutafuta uwezekano wa kupitia na kuevaluate posts zote kabla hazijawa published. GOOD FOOD FOR THOUGHT MOHAMED MTOI; Kudos!
 
Platozoom, huyu Marcopollo anajaribu kuonesha mifano ya matumizi mabovu (soma maovu) ya lugha ya Kiswahili hapa jamvini. Kusema ukweli ni matumizi yanayokera. Yanakera hasaa!
Omonto wa -hene nimekupata............haya mbane
 
Last edited by a moderator:
Wakuu.
Natambua heshima ya hali ya juu ya jukwaa hili ikiwa ni pamoja na kuwa daraja la kupitisha habari na taarifa kutoka upande mmoja kwenda upande mwingine.

Hata hivyo mara kadhaa hapa jamvini kumekuwa na matumizi ya lugha zenye ukakasi na nyingine zikiwa na ncha kali kana kwamba hazitoki kwenye mitima ya Ma great thinkers. Wakati mwingine huwa napata tabu kuwa huenda jamvi linakosa udhibiti na kuvamiwa na watoto walio kosa staha na ku sheheni lugha za kule fb au lugha za balehe na kuvunja ungo.

Unakuta great thinker anakuja kutaka msaada mathalani wa kuchagua kozi anasema ame maliza XUL, hivyo anataka ku-join VACITY. Au unakuta kwenye mjadala wa maana mtu anachangia HABARI YAKO BHANAA! Nk.

Naomba ukimaliza kusoma uzi huu weka mifano ya lugha usizopenda zitumike kisha mkanye mwingine ili asi tuchafuliwe na kuonekana wote ni walewale.

Kweri umenena aixee
 
kukatisha maneno sio tatizo!! kheri tungewasema wale wanaotukana!wale ndio wanao shusha hadhi ya jukwaa!
 
Tatizo sms na twitter pia huwezi kuzidisha character 140 hivo inabidi kufipisha baadhi ya maneno.
 
Back
Top Bottom