Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Hii clip nimeshindwa kuimalizia baada ya kuona hawa waandishi wanakosea kwa makusudi matumizi ya l na r.
Kuna mchungaji mmoja redioni niliacha kabisa kusikiliza mahubiri yake baada ya yeye kutumia “l” kwenye r.
Hawa watoto wamesomea uandishi kweli?
Wanatia kichefu chefu kama sio kuharibu lugha ya Kiswahili