Inanikumbusha nikiwa shuleni mwalimu wangu wa kihaya alikuwa anafundisha somo la Welding..sasa akawa anatusomea kama dictation tunaandika. Alisoma hivi;
"Werding is a process of joining two metars by eating" akimaanisha
"Welding is a process of joining two metals by heating"
mwanafuzi mmoja akaandika kama mwalimu alivyosoma basi wakati mwalimu anakagua madaftari akakosoa kwa kusema...
iri jamaa eti rimeandika HEATING ya kura badala ya EATING ya Moto!
Mwisho wa kunukuu!