Matumizi ya "h" yamekithiri

hili lishakuwa janga la kitahifa sasa.akuna aja ya kulihundia tume ya kufanya huchunguzi kwa keri
 
Tafadharini muhache kualibu rhugha ya taifa. Kwa kweri munakera na munahudhi sana!
 
Msikilize huyo msemaji AI anasema HeiHai
https://www.facebook.com/
View: https://www.facebook.com/reel/2391388688025469
 
Gen-Z wengi wa Tanzania hawajui kiswahili fasaha kabisa. Utasikia mtu anasema eti "kocha ambaye ameweza kufukuzwa kazi"
 
Duh.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…