Matumizi ya baadhi ya maneno katika hali ya mazoea

Jongwe

JF-Expert Member
Apr 25, 2008
1,039
659
Kuna baadhi ya maneno kuelezea hali ya mazoea yatumika vibaya. Imekuwa mazoea sijui kama watu huwa wanajua wanafanya makosa. Mfano baadhi ya maneno hayo. Anakwendaga, anakujaga, anakulaga analalaga na kadhalika. Sahihi kusema huwa anakuja, huwa anakwenda, huwa wanaimba na kadhalika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom