Prince M Mwakyusa
JF-Expert Member
- Jul 2, 2015
- 374
- 184
Mmmmmhh umeelezea kitaalamu umeniongesea misamiatiKwenye upande wa ufundi ndani Ni kua
Home theater hua zinatumia smps yaani switchmode power supply,.
Aina hi ya power supply Ni very fast switch...na current yake inakua standard.hakuna voltage losses,hakuna current popping yaani kifupi umeme unaoingia kwenye card unakua smooth
Kisha Kuna kadi
Au tunaweza sema main yenyewe
Hapo panakua na amplifier ambazo zinakuza sauti
Na amplifier hizi hutumia mala nyingi integrated circuit za kampuni husika
Ni mala chache Sana kukuta inatumia hizi common ic.
Kisha panachip ambazo ndio hubeba maana ya clear sound ambazo hizi zimedizainiwa vilivyo na (computer) na kila company inazakwake
Kwa hivyo basi ikiwa amplifier ikizingu walau unaweza kuirekenisha au hata power supply
Lakini sio main crossover card.....
Ndio maana ikitokea imezingua Ni shida kuirekebisha
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app