Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
View attachment 57161
Katika pitapita yangu kijijini kwetu, nikabahatika kukutana na hii product mupya... Watanzania wanajaribu kuwa wabunifu ili angalau kupunguza makali ya maisha. Hii ni kamba ya kufungia mifugo kama mbuzi. Imesukwa kwa kutumia neti zile zilizogawiwa bure nchi nzima na Serikali kwa msaada wa wamarekani.
Sababu hasa iliyomfanya mwananchi huyu kuamua kubadili matumizi ya neti zile alidai ni kutokana na neti zewenye kuwa ndogo sana...
Kuna picha nyingine jamaa wanavulia samaki naitafuta hapa...
Katika pitapita yangu kijijini kwetu, nikabahatika kukutana na hii product mupya... Watanzania wanajaribu kuwa wabunifu ili angalau kupunguza makali ya maisha. Hii ni kamba ya kufungia mifugo kama mbuzi. Imesukwa kwa kutumia neti zile zilizogawiwa bure nchi nzima na Serikali kwa msaada wa wamarekani.
Sababu hasa iliyomfanya mwananchi huyu kuamua kubadili matumizi ya neti zile alidai ni kutokana na neti zewenye kuwa ndogo sana...
Kuna picha nyingine jamaa wanavulia samaki naitafuta hapa...