Matumizi mazuri ya pesa

Jewel

Senior Member
May 1, 2008
176
62
Hamjambo wajamvi na Idd mubaarac! Tafadhali naomba nijuze matumizi mazuri ya pesa .Maana imenitokoe mie naambiwa nina matumizi mabaya ya pesa mie silewi wala kuhonga hiyo pesa nimetumia kwenda kuwachukua wanagu shuleni kwa kukudi gari ndogo kwenda mapaka shueni na kurudi home .Je hayo ni matumizi mabaya ya pesa na matumizi ya pesa ili yawe mazuri yatumikeje?
 
Matumizi mabaya ya pesa yanategemea wewe una kiasi gani. Mfano wewe una shs 10,000 tu halafu unachukua teksi unabaki mikono mitupu badala ungepanda daladala au bodaboda hayo ni matumizi mabaya. Lakini kama una 100,000 ukatumia 10,000 na kwamba hiyo iliyobakia haitakufanya uishi kwa taabu, hayo siyo matumizi mabaya.
 
Hamjambo wajamvi na Idd mubaarac! Tafadhali naomba nijuze matumizi mazuri ya pesa .Maana imenitokoe mie naambiwa nina matumizi mabaya ya pesa mie silewi wala kuhonga hiyo pesa nimetumia kwenda kuwachukua wanagu shuleni kwa kukudi gari ndogo kwenda mapaka shueni na kurudi home .Je hayo ni matumizi mabaya ya pesa na matumizi ya pesa ili yawe mazuri yatumikeje?
Matumizi mazuri ya pesa mara nyingi anayafahamu anayetumia pesa zake. Kwa mfano binafsi nakwenda kazini ili pamoja na mambo mengine nisikose pesa ya Bia, sasa huwa inanikwaza pale anapojitokeza Usaadhi/Mlokole mmoja ananiambia kunywa pombe ni matumizi mabaya ya pesa.
 
Wakuu, muda huu nipo Rose Garden nakata pombe kwa kwenda mbele. Mwenye dawa ya kuacha starehe tafadhali anijulishe.
 
matumizi mazuri ya pesa mara nyingi anayafahamu anayetumia pesa zake. Kwa mfano binafsi nakwenda kazini ili pamoja na mambo mengine nisikose pesa ya bia, sasa huwa inanikwaza pale anapojitokeza usaadhi/mlokole mmoja ananiambia kunywa pombe ni matumizi mabaya ya pesa.


ulei nourma ndugu
 
Ul
Hamjambo wajamvi na Idd mubaarac! Tafadhali naomba nijuze matumizi mazuri ya pesa .Maana imenitokoe mie naambiwa nina matumizi mabaya ya pesa mie silewi wala kuhonga hiyo pesa nimetumia kwenda kuwachukua wanagu shuleni kwa kukudi gari ndogo kwenda mapaka shueni na kurudi home .Je hayo ni matumizi mabaya ya pesa na matumizi ya pesa ili yawe mazuri yatumikeje?
Kula pesa acha roho tafuta zingine.
 
hii inadhirisha kuwa kipato chenu sio kibaya...hivyo unavyopata ndivyo inavyokuruhusu kutumia.
Ila mtu wa kipato cha chini au cha kawaida ni hela nyingi kwa kweli kama haikuwa lazima sana kutumia huo usafiri wa kukodi.

120,000?=
 
Matumizi mazuri ya pesa ni pale unapokidhi MAHITAJI yako badala ya MATAKWA yako...unapofanya mambo kwa kuzingatia kiasi ulichonacho.
Kama una sh. 50000 ...hujalipa kodi alafu unachukua taxi kutoka kazini mpaka steers kula burger na kuangalia movie mlimani city basi unakua umetumia pesa yako vibaya kwa kua hujazingatia mahitaji yale ambayo ni muhimu zaidi....
Kwahiyo inawezekana mna mambo mengine ambayo yangehitaji hiyi pesa zaidi ya kukodia gari wakati mngechukua basi bado mngefika.
 
Matumizi mazuri ya pesa ni pale unapokidhi MAHITAJI yako badala ya MATAKWA yako...unapofanya mambo kwa kuzingatia kiasi ulichonacho.
Kama una sh. 50000 ...hujalipa kodi alafu unachukua taxi kutoka kazini mpaka steers kula burger na kuangalia movie mlimani city basi unakua umetumia pesa yako vibaya kwa kua hujazingatia mahitaji yale ambayo ni muhimu zaidi....
Kwahiyo inawezekana mna mambo mengine ambayo yangehitaji hiyi pesa zaidi ya kukodia gari wakati mngechukua basi bado mngefika.

Maelezo yako hayana mvuto
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom