nguvumali
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 4,923
- 1,325
hilo ni gari la serikali linalotumiaka na kituo cha Afya Ilembo..Mbeya Vijijini limekutawa likipakia abiria.
[h=5] Hii ni hatari kwa maana Mkuu wa afya anashirikiana na dereva wake katika biashara husika.
nauli kutoka Mbalizi hadi Ilembo ni Tsh.4000.
Mamlaka husika mpo wapi? hebu njoo mpate taarifa kamili kupitia 0688076376.[/h]