Matope
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 892
- 679
Duh hii ni balaa jamani hawa jamaa kweli wana timing maana kuna wakati wanakulazimisha eti umezidi 50 speed!Kituo cha pale Msoga wanaudhi sana wale na pale visiga wanaojificha kwenye banda la matunda,cha kushangaza siku zote wakikukamata mwisho wa gemu ni rushwa tu!hongereni kwa huu mratiiiiiii!