Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Nimefarijika umefurahi ni katika kutetea kinadada,hata wanene wanahitaji kupendwa.
kweli. Bora mtetezi wao umejitokeza.
Nimefarijika umefurahi ni katika kutetea kinadada,hata wanene wanahitaji kupendwa.
Hivi ni kwa sababu gani wanawake wengi wanakuwa na matumbo makubwa(vitambi)?takribani 70% ya wanawake wapo hivyo.
wengi inatokea baada ya kuzaa, wanakuwa hawajatumia mikanda ya kufunga tumbo..wengine hasa wakipata operation wanashindwa kuweka mikanda kwasababu haiwezekani, hivyo tumbo lililokuwa limetanuka kwasababu ya mimba, protein zinajaza minyama na mimafuta mle ya chakula kingine...ndo kitambi kinatokea, na hakijikumwacha kama ndio hivyo...ni tatizo kubwa kwa wanawake wetu jamani...aaaaaaa,,,,kumbe!!!!!!!!!
Ama kweli watu hatuna shukrani
Hivi unadhani miezi9 ulokaa tumboni ulikuwa umekaa kwenye nini?
Unategemea baada ya kutoka tumbo libaki kama lilivokuwa kabla ya huyo unae muita mwenye tumbo kubwa kukubeba?
Udhalilishaji huu
michemsho na bia za bure..................
Hii inatokana sana sana na kupenda kujiachia hamna mazoezi na kupenda kula hovyo...!
Hivi ni kwa sababu gani wanawake wengi wanakuwa na matumbo makubwa(vitambi)?takribani 70% ya wanawake wapo hivyo.
Michemsh na malta za bure wakiwa na ma bf wao.
Hizo bia za bure zinapatikana wapi??
michemsho na bia za bure..................