Matumaini ya Lowassa njia panda

Matumaini ya Lowassa njia panda

Hafai na wala hastahili kuwa gumzo, kumpongeza huyo mzee ni kutojitambua.Katika utumishi wake zaidi ya miaka 20 muulizeni kawafanyia nini vijana hata wachache wa jimboni kwake.
 
Mzee amekuwa na skendo kibao ambazo yeye mwenyewe kashindwa kujitokeza kukana afu bado mnamtetea, poleni sana
 
Kuna watu watakuja hapa na kukumbusha hizi details hapa chini

Join Date : 26th August 2015

Posts : 217


Kutoka 26th August mpaka 15th september ni kama siku 2O .....hii ina maana kwamba unapost zaidi ya post 10 kwa siku!!!!

Hapa Jf watu wanaamini kuwa kama umejiunga hivi karibuni na unapost sana basi upo hapa kwa malengo maalum.Sijui kama hili ni kweli, nalifanyia uchunguzi
Labda nikuulize una malengo maalumu? Ya kisiasa au kijamii?
hata usihangaike...signature imejitosheleza...

“The illiterate of the 21st century will not be those who cannot read and write, but those who cannot learn, unlearn, and relearn.” ~ Alvin Toffler
 
Sasa hapo ndo watanzania tujiulize kama kweli hawa watu wana nia ya kuleta maendeleo na mabadiliko anayohubiri. Amekua mbunge kwa miaka 30, ila cha ajabu wamamsai ndi watu wenye elimu duni, wengi ni walinzi hata makazi yao ni duni. Sasa kama alishindwa kuwajengea ndugu zake nyumba, kutafutia ajira kwa kuanzisha viwanda, kuwapatia elimu, kweli leo tunamuamini mtu kama huyu kweli kwamba atatuletea mabadiliko? We guys we have to stretch our mind na tufikirie nje ya box. Tuache ushabiki wa kilipoteza taifa ila tufikiri ili kulikoa taifa.

Watu wengine shida yao waitwe Rais basi ila sio kutatua matatizo yetu . Tafakari
 
Back
Top Bottom