Matumaini ya ajira mpya za ualimu 2016

Matumaini ya ajira mpya za ualimu 2016

Acha uvivu wa kufikiri ajira sio lazima iwe government, tatizo mnataka kuishi mijini wakati mawilayani kuna shule za private hazina walimu
 
Kumbe Uhakiki Hewa Wa Wafanyakazi Hewa Umeshamaliza?? Sasa Watazua Jambo Jengine!! Oh God.. Wanadili na UKUTA kwanza! Wakiuangusha Ukuta Ndiyo Watatoa Ajira..!
[HASHTAG]#TogetherSep1[/HASHTAG]


Tz ni mji wa ahadi,tukaze moyo tutafika
 
Acha uvivu wa kufikiri ajira sio lazima iwe government, tatizo mnataka kuishi mijini wakati mawilayani kuna shule za private hazina walimu
Kama wapi!? Usiwe wa kuongea bila mifano.
 
Kwa wadogo zangu mliomaliza kidato cha sita na wa kidato cha nne mnaohitaji info kuhusu vyuo vya china(kozi,ada na admission process) kwa mwaka 2016 ninaweza kuwasaidia na i can help with admission process too.tuwasiliane kupitia +8613065131363 whatsapp only.na kwa wale form 6 science waliokosa sifa za kujiunga shahada foundation courses zipo za mwaka 1.Karibuni huduma inatolewa bure
 
Hiyo kauli ya RC umeifanyia editing.
Alisema “Police mkikuta mhalifu yeyote msituni pigeni bila huruma“

Mkuu Makonda Si Mtoto Wala Si Mjinga Kiasi Hicho!

Kauli Yake Haikuanzia Hapo Nilipoandika Wala Ulipoandika Wewe!

Ukirudi Nyuma Kidogo Kwenye Maneno Yake Utakutia Kauli Aliisema Kuwa "NDANI YA MKOA WANGU NI MATUFUKU KUANDAMANA, MIMI NI MKUU WA ULINZI NDANI YA MKOA WANGU"..
Ikisha Hapo Ndiyo Akaunganisha Kauli Ya "POLISI PIGENI"..

Sasa Hapo Angalia Mwenyeo Hakuna Maandamano+Piga bila Ya Huruma Je, Kawakusudia Nani??
 
Mkuu...
Hivi UKUTA ina watu kweli wakuisapoti..!?
Maana huku kwetu kila nayemuuliza kuhusu hili suala la UKUTA huwa anageuka mbogo..!
Isije ikatokea akina Tundu Lissu wakajikuta wenyewe tu Barabarani..!
Hatujadil siasa hapa.
Kama unahitaj nenda jukwaa husika la maswala hayo.
Toa mawazo makin na mtakuja kufa kwasabab ya kuwafata wanasiasa hovyo ovyo.
 
Ualimu ni utumwa tu, nawapongeza walimu walionifundisha kwa weledi wao na kujituma, japo nami nina shahada ya elimu nimeanza kuchukia ahadi za kutupotezea mda bora niwe mjasiliamali ili nikopeshe walimu baadae, uboya wa kuvaa mitai na misuruali ya vitambaa halafu mshahara take home laki nne au tano... I better do other involvements.
 
Mkuu...
Hivi UKUTA ina watu kweli wakuisapoti..!?
Maana huku kwetu kila nayemuuliza kuhusu hili suala la UKUTA huwa anageuka mbogo..!
Isije ikatokea akina Tundu Lissu wakajikuta wenyewe tu Barabarani..!
Ingekuwa haina wakuwasapoti wale jamaa unadhani kwanini wanafanya maonesho mitaani
 
Kwa wadogo zangu mliomaliza kidato cha sita na wa kidato cha nne mnaohitaji info kuhusu vyuo vya china(kozi,ada na admission process) kwa mwaka 2016 ninaweza kuwasaidia na i can help with admission process too.tuwasiliane kupitia +8613065131363 whatsapp only.na kwa wale form 6 science waliokosa sifa za kujiunga shahada foundation courses zipo za mwaka 1.Karibuni huduma inatolewa bure
Acha utapeli
 
Acha utapeli
Mkuu sometimes uwe unatumia akili kuliko kuropoka maneno yasiyo na maana.jifunze kuheshimu kazi za wengine hata hazikupendezi wewe.wewe ni mtu mzima please behave kama mtu mzima.kama nilishakutapeli nenda kituo cha polisi
 
Kumbe Uhakiki Hewa Wa Wafanyakazi Hewa Umeshamaliza?? Sasa Watazua Jambo Jengine!! Oh God.. Wanadili na UKUTA kwanza! Wakiuangusha Ukuta Ndiyo Watatoa Ajira..!
[HASHTAG]#TogetherSep1[/HASHTAG]
Na ndo watkacho zugia hcho cha [HASHTAG]#ukuta[/HASHTAG]
 
Kwa hali ninavyoiona kuna kiza kinene labda tungojee bunge la mwezi wa tisa ila kwa siku hizi nne tumeshapigwa bao.sina matumaini
 
Mkuu sometimes uwe unatumia akili kuliko kuropoka maneno yasiyo na maana.jifunze kuheshimu kazi za wengine hata hazikupendezi wewe.wewe ni mtu mzima please behave kama mtu mzima.kama nilishakutapeli nenda kituo cha polisi
Acha kuishi kiujanjajanja...sijawahi ona mtu anahangaika kwenye mitandao ya kijamii kama wewe eti anasaidia watu bure...we kuwa mkweli faida unaipata wapi ukishamsaidia mtu
 
Back
Top Bottom