Matumaini ya ajira mpya za ualimu 2016

Matumaini ya ajira mpya za ualimu 2016

Joined
Mar 29, 2014
Posts
26
Reaction score
9
Natumai ajira za walimu 2016, zitatangazwa leo, kesho, kesho kutwa au mtondogoo, kwasababu jana ndo ulikua mwisho wa kuhakiki maswala yote ya WATUMISHI HEWA, sasa hakuna kikwazo kingine!!!

Au wataleta kikwazo kingine?? Ha ha ha ha ha ha ha, kama kitakuwepo bas TZ mji wa AHADI!!!!
 
Hata watoao ahadi hewa ni MAJIPU, tatizo ni nani wa kuwatumbua ikiwa watumbuaji ndio watoaji wa ahadi hizo.
 
Kumbe Uhakiki Hewa Wa Wafanyakazi Hewa Umeshamaliza?? Sasa Watazua Jambo Jengine!! Oh God.. Wanadili na UKUTA kwanza! Wakiuangusha Ukuta Ndiyo Watatoa Ajira..!
[HASHTAG]#TogetherSep1[/HASHTAG]
 
Waalimu ndo maana huwa mnachapwa viboko na wakuu wa wilaya coz mnajidhaliilisha sana kwa kulia lia cjui nn tatzo? Kwani mpaka sasa hivi nani kaajiliwa mpaka muwe mnalia lia. Yaani inaonekana umeshakata tamaa kabisa bila ajira huwezi ishi.Halafu watu kama nyie jiandaeni kama ni mdada kuwa mboga za sisi wajasiliamali kama mwanaume jiandae kuishi kwa strees.
 
Kumbe Uhakiki Hewa Wa Wafanyakazi Hewa Umeshamaliza?? Sasa Watazua Jambo Jengine!! Oh God.. Wanadili na UKUTA kwanza! Wakiuangusha Ukuta Ndiyo Watatoa Ajira..!
[HASHTAG]#TogetherSep1[/HASHTAG]
Mkuu...
Hivi UKUTA ina watu kweli wakuisapoti..!?
Maana huku kwetu kila nayemuuliza kuhusu hili suala la UKUTA huwa anageuka mbogo..!
Isije ikatokea akina Tundu Lissu wakajikuta wenyewe tu Barabarani..!
 
Ualimu sasa hivi umekuwa dili.
Mkiwa shuleni huko mnakuwa na maneno ya shombo kuhusu hiyo tasnia lkn sasa hivi kila ukiingia humu ajira za walimu.
Endeleeni kuwa wavumilivu, sasa hivi tuna uhakiki wa wanafunzi hewa.
 
Mkuu...
Hivi UKUTA ina watu kweli wakuisapoti..!?
Maana huku kwetu kila nayemuuliza kuhusu hili suala la UKUTA huwa anageuka mbogo..!
Isije ikatokea akina Tundu Lissu wakajikuta wenyewe tu Barabarani..!

Mkuu Ni Kweli Hilo! Unajua Kauli Ya RC Makonda imetisha Wengi Pale Alipowaambia "Polisi Pigeni Waandamanaji Bila Ya Huruma"..

Ni Hii Ya Sept 1 ikiwa itafail Kutokana na Woga.. Siwezi Tabiri Upinzani utakuwa vipi..... Coz tutawajengea Confidence Watawala Kwa 100% kuwa Waamini Wakiamua Wanaweza...
 
Waalimu ndo maana huwa mnachapwa viboko na wakuu wa wilaya coz mnajidhaliilisha sana kwa kulia lia cjui nn tatzo? Kwani mpaka sasa hivi nani kaajiliwa mpaka muwe mnalia lia. Yaani inaonekana umeshakata tamaa kabisa bila ajira huwezi ishi.Halafu watu kama nyie jiandaeni kama ni mdada kuwa mboga za sisi wajasiliamali kama mwanaume jiandae kuishi kwa strees.
Watu wanaajiriwa kwenye ofisi za serikali
 
Mkuu Ni Kweli Hilo! Unajua Kauli Ya RC Makonda imetisha Wengi Pale Alipowaambia "Polisi Pigeni Waandamanaji Bila Ya Huruma"..

Ni Hii Ya Sept 1 ikiwa itafail Kutokana na Woga.. Siwezi Tabiri Upinzani utakuwa vipi..... Coz tutawajengea Confidence Watawala Kwa 100% kuwa Waamini Wakiamua Wanaweza...
Na wakifeli sasa hivi...
Hawataweza tena..!
 
Sasa wanafuatilia walimu waliolundikana katika shule za mijini ambako wana vipindi vichache. Watapelekwa sehemu zenye uhitaji na baada ya hapo ndio watafahamu wanahitaji kuajiri walimu wangapi.
 
Mkuu Ni Kweli Hilo! Unajua Kauli Ya RC Makonda imetisha Wengi Pale Alipowaambia "Polisi Pigeni Waandamanaji Bila Ya Huruma"..

Ni Hii Ya Sept 1 ikiwa itafail Kutokana na Woga.. Siwezi Tabiri Upinzani utakuwa vipi..... Coz tutawajengea Confidence Watawala Kwa 100% kuwa Waamini Wakiamua Wanaweza...
Hiyo kauli ya RC umeifanyia editing.
Alisema “Police mkikuta mhalifu yeyote msituni pigeni bila huruma“
 
Waalimu ndo maana huwa mnachapwa viboko na wakuu wa wilaya coz mnajidhaliilisha sana kwa kulia lia cjui nn tatzo? Kwani mpaka sasa hivi nani kaajiliwa mpaka muwe mnalia lia. Yaani inaonekana umeshakata tamaa kabisa bila ajira huwezi ishi.Halafu watu kama nyie jiandaeni kama ni mdada kuwa mboga za sisi wajasiliamali kama mwanaume jiandae kuishi kwa strees.
C kila mtu anaweza kua mjacria mali
 
Natumai ajira za walimu 2016, zitatangazwa leo, kesho, kesho kutwa au mtondogoo, kwasababu jana ndo ulikua mwisho wa kuhakiki maswala yote ya WATUMISHI HEWA, sasa hakuna kikwazo kingine!!!


Au wataleta kikwazo kingine?? Ha ha ha ha ha ha ha, kama kitakuwepo bas TZ mji wa AHADI!!!!
Uhakiki wa watumishi hewa utaendelea, provided HEWA bado ipo!
 
Natumai ajira za walimu 2016, zitatangazwa leo, kesho, kesho kutwa au mtondogoo, kwasababu jana ndo ulikua mwisho wa kuhakiki maswala yote ya WATUMISHI HEWA, sasa hakuna kikwazo kingine!!!


Au wataleta kikwazo kingine?? Ha ha ha ha ha ha ha, kama kitakuwepo bas TZ mji wa AHADI!!!!
Kuna mashamba mengi hayana walimaji
 
Ualimu sasa hivi umekuwa dili.
Mkiwa shuleni huko mnakuwa na maneno ya shombo kuhusu hiyo tasnia lkn sasa hivi kila ukiingia humu ajira za walimu.
Endeleeni kuwa wavumilivu, sasa hivi tuna uhakiki wa wanafunzi hewa.
Bora Nisubiri Ajira Yenye Hadhi Kuliko Hii Ya Walimu, Nitafanya Kazi Mwaka 1 Yenye Mafanikio Ambayo Mwalimi Atafanya Miaka 20
 
Back
Top Bottom