Matukio yanayokumbukwa wakati wa ''infidelity''...

Hiyo ilikuwa ndogo. Sikiliza hii:

Umeenda kwa dasophy kudumisha mila (valeur inahusika hapo) Katika udumishaji mila usingizi ukakukamata. Kustuka kumekucha. UKIANGALIA SIMU KUNA MISSED CALLS ZAIDI YA 20 ZA WAIFU!! Kichwa kinakuuma unaamua kupiga mahesabu.

Unaenda kituo cha polisi unawahonga buku kumi wakuweke lupango. Unampigia infidelator mwenzako Teamo aje akutoe lupango. Kwa kuwa ushampa habari kamili, yeye amnapitia kwa wife anaongozana naye kituoni. Waifu anawahonga polisi ili wakutoe. safari ya kurudi home kwa mafanikio inatimia.

Kilichokufanya uswekwe ndani waifu ataambiwa mkiwa kwenye tabenako. Kesi kwisha..............:closed_2:
ha ha ha ha!
ayayayayayayayayaaaaaaaaaaaa

lupangoooooooooooooooooooooooo
 
Hiyo ilikuwa ndogo. Sikiliza hii:

Umeenda kwa dasophy kudumisha mila (valeur inahusika hapo) Katika udumishaji mila usingizi ukakukamata. Kustuka kumekucha. UKIANGALIA SIMU KUNA MISSED CALLS ZAIDI YA 20 ZA WAIFU!! Kichwa kinakuuma unaamua kupiga mahesabu.

Unaenda kituo cha polisi unawahonga buku kumi wakuweke lupango. Unampigia infidelator mwenzako Teamo aje akutoe lupango. Kwa kuwa ushampa habari kamili, yeye amnapitia kwa wife anaongozana naye kituoni. Waifu anawahonga polisi ili wakutoe. safari ya kurudi home kwa mafanikio inatimia.

Kilichokufanya uswekwe ndani waifu ataambiwa mkiwa kwenye tabenako. Kesi kwisha..............:closed_2:

hahahaha kuna vichwa vimedata hapa duniani sijui ukiongeza na valuu + bangi na Gongo hapa itakuwaje hahahahah kwa raha zangu nicheke nirefushe maisha ..
Naandika vituko vyote sehemu ili nipate pa kumbania baba yoyo ..siku akija asubuhi.. labda aniambia alikufa akafufuka:fish2:
 
Hi sredi inavunja mbavu zangu dah,
Hahahahahahaha infidelity noma:smash:
 
Nilitengeneza hadithi hii (i had plently of time)..
Nilikua nimekaa bar na mshkaji (ilibidi nimtafute same night kumpa ishu yenyewe), akaja jamaa anaejifanya 'shoe shiner' kanipa zile ndala katoweka na 'my dear sendoz'....
Hope she bought....wiki iliyopita kaniuliza ka nishawahi kumwona yule 'shoe shiner'.....
BTW: Hapa nimejilipua....akipita hapa mi kishnei!

yaani jamani nyie wanaume..puuu cjui viumbe gani nyie khaa! mie kweli sio kwamba cdanganywaji, najua ananidanganya lakini mpaka kumuelewa uongo wake ipo kazi...hapo mie ningeshikia bango nipeleke/nionyeshe huyo shoe shine nifatilie hizo sandoz mwenyewe....
 
Hiyo ilikuwa ndogo. Sikiliza hii:

Umeenda kwa dasophy kudumisha mila (valeur inahusika hapo) Katika udumishaji mila usingizi ukakukamata. Kustuka kumekucha. UKIANGALIA SIMU KUNA MISSED CALLS ZAIDI YA 20 ZA WAIFU!! Kichwa kinakuuma unaamua kupiga mahesabu.

Unaenda kituo cha polisi unawahonga buku kumi wakuweke lupango. Unampigia infidelator mwenzako Teamo aje akutoe lupango. Kwa kuwa ushampa habari kamili, yeye amnapitia kwa wife anaongozana naye kituoni. Waifu anawahonga polisi ili wakutoe. safari ya kurudi home kwa mafanikio inatimia.

Kilichokufanya uswekwe ndani waifu ataambiwa mkiwa kwenye tabenako. Kesi kwisha..............:closed_2:
The Following User Say Thank You to Asprin For This Useful Post:

Kimey (Today)​
 
kuna Kisanga cha kuchekesha kimemkuta ndugu yangu wa karibu kesi ya kusuruhisha :sick:
Yeye kenda kufanya majambo yake kaaga anaenda kwenye wedding ceremony ,kumbe kapitia kwa ka small house kake ..kurudi home saa tisa bia nyingi sana kichwani kajisahau kama kajitanda mtandio wa hiyo small house ...

Ila nyie !

mie naonaga kuliko mtu akurudie mida hiyo n bora ajilalie tu huko aje asubuhi kama amenogewa ki hivyo...jamani ndoa hizi khaa.
 
yaani jamani nyie wanaume..puuu cjui viumbe gani nyie khaa! mie kweli sio kwamba cdanganywaji, najua ananidanganya lakini mpaka kumuelewa uongo wake ipo kazi...hapo mie ningeshikia bango nipeleke/nionyeshe huyo shoe shine nifatilie hizo sandoz mwenyewe....


hahahah kuna shoe shine wa kileo wanatembea na mitambo kabisa ,akukukuta saloon anang'arisha ,akikukuta bar anakuvua Boot unapenda ndala kazi inafanyika .. tatizo linaanzia hapo
 
Hiyo ilikuwa ndogo. Sikiliza hii:

Umeenda kwa dasophy kudumisha mila (valeur inahusika hapo) Katika udumishaji mila usingizi ukakukamata. Kustuka kumekucha. UKIANGALIA SIMU KUNA MISSED CALLS ZAIDI YA 20 ZA WAIFU!! Kichwa kinakuuma unaamua kupiga mahesabu.

Unaenda kituo cha polisi unawahonga buku kumi wakuweke lupango. Unampigia infidelator mwenzako Teamo aje akutoe lupango. Kwa kuwa ushampa habari kamili, yeye amnapitia kwa wife anaongozana naye kituoni. Waifu anawahonga polisi ili wakutoe. safari ya kurudi home kwa mafanikio inatimia.

Kilichokufanya uswekwe ndani waifu ataambiwa mkiwa kwenye tabenako. Kesi kwisha..............:closed_2:

yaani...sasa kwanin mnajitesa hivyo? mie naona mnateseka bwana!...bado ningekuwa na swali kwa huyo frnd wako, kwanza yeye amezijua hizo habari saa ngapi na ni nani amemjulisha...baada ya kupewa majibu nitaendelea kuhoji.
 
Hiyo ilikuwa ndogo. Sikiliza hii:

Umeenda kwa dasophy kudumisha mila (valeur inahusika hapo) Katika udumishaji mila usingizi ukakukamata. Kustuka kumekucha. UKIANGALIA SIMU KUNA MISSED CALLS ZAIDI YA 20 ZA WAIFU!! Kichwa kinakuuma unaamua kupiga mahesabu.

Unaenda kituo cha polisi unawahonga buku kumi wakuweke lupango. Unampigia infidelator mwenzako Teamo aje akutoe lupango. Kwa kuwa ushampa habari kamili, yeye amnapitia kwa wife anaongozana naye kituoni. Waifu anawahonga polisi ili wakutoe. safari ya kurudi home kwa mafanikio inatimia.

Kilichokufanya uswekwe ndani waifu ataambiwa mkiwa kwenye tabenako. Kesi kwisha..............:closed_2:

Yesuuuuuu!Kuna siku mie nimeenda kumchukua huyu baba polisi asubuhi kabisaa,tena nikaongea nae behind bars kabisa na laki yangu nikatoa kuhonga.Eti alimtukana polisi!Atailipa aisee,im launching an investigation!Nilihisi something fishy manake alikuwa na simu yake anajibu posts za JF!
 
hahahaha kuna vichwa vimedata hapa duniani sijui ukiongeza na valuu + bangi na Gongo hapa itakuwaje hahahahah kwa raha zangu nicheke nirefushe maisha ..
Naandika vituko vyote sehemu ili nipate pa kumbania baba yoyo ..siku akija asubuhi.. labda aniambia alikufa akafufuka:fish2:
Uzuri ni kwamba haya mambo huwa hayapangwi wala hayarudiwi. We endelea kusubiri akudanganye alikuwa lupango.........

Wenzako wanaondoka na baibo home wanadanganya wanaenda church kumbe.......lol!
 
Yesuuuuuu!Kuna siku mie nimeenda kumchukua huyu baba polisi asubuhi kabisaa,tena nikaongea nae behind bars kabisa na laki yangu nikatoa kuhonga.Eti alimtukana polisi!Atailipa aisee,im launching an investigation!Nilihisi something fishy manake alikuwa na simu yake anajibu posts za JF!

hapo ujue tu ulidanganywa! wenzio hiyo laki walienda kujipongeza jioni kwa valuu
 
Yesuuuuuu!Kuna siku mie nimeenda kumchukua huyu baba polisi asubuhi kabisaa,tena nikaongea nae behind bars kabisa na laki yangu nikatoa kuhonga.Eti alimtukana polisi!Atailipa aisee,im launching an investigation!Nilihisi something fishy manake alikuwa na simu yake anajibu posts za JF!


nimecheka kwa huzuni ujue! ina maana wote mpo humu?...sasa ulivyoona anajibu hizo posts kwanini hkuhoji polic gani ya namana hiyo?
 
yaani...sasa kwanin mnajitesa hivyo? mie naona mnateseka bwana!...bado ningekuwa na swali kwa huyo frnd wako, kwanza yeye amezijua hizo habari saa ngapi na ni nani amemjulisha...baada ya kupewa majibu nitaendelea kuhoji.
Nyamayao....Hizi risks/adventures zinaokoleza utamu wa ishu yenyewe...
 
yaani...sasa kwanin mnajitesa hivyo? mie naona mnateseka bwana!...bado ningekuwa na swali kwa huyo frnd wako, kwanza yeye amezijua hizo habari saa ngapi na ni nani amemjulisha...baada ya kupewa majibu nitaendelea kuhoji.
Hayo maswali utayaulizia wapi? Utadanganywa tu na wala hutaelewa kama umedanganywa.....
 
hapo ujue tu ulidanganywa! wenzio hiyo laki walienda kujipongeza jioni kwa valuu

jamani ina umiza sana, hivi kwanini hawa watu wanatufanya wajinga hivi?.....kwanza mie kitendo cha kumtoa tu polic kwa sababu zake ziczo na kichwa wala miguu na kuniletea usumbufu usio na lazim mie laki yangu angeilipa..
 
yaani jamani nyie wanaume..puuu cjui viumbe gani nyie khaa! mie kweli sio kwamba cdanganywaji, najua ananidanganya lakini mpaka kumuelewa uongo wake ipo kazi...hapo mie ningeshikia bango nipeleke/nionyeshe huyo shoe shine nifatilie hizo sandoz mwenyewe....
Hapo nakubali kwamba 'shoe shiner' alinizidi upeo....hapatikani (BTW: kulikua na wizi aina hii hapa bongo...mwizi anapita bar kujifanya shoe shiner...na huyu ndo alinikamata na mie).:closed_2:
 
Hayo maswali utayaulizia wapi? Utadanganywa tu na wala hutaelewa kama umedanganywa.....

hivi lakini, mie ndio mana kama likichelewa kurudi zaidi ya saa 5 najizimia cmu nipate ucngizi, nicje lala macho kufikiria mtu mzima anarudi saa ngapi, sasa huyo anakuta micd calls 20 huyo mama alilala kweli? kila muda kubofya kama atapokelewa...
 
Hiyo ilikuwa ndogo. Sikiliza hii:

Umeenda kwa dasophy kudumisha mila (valeur inahusika hapo) Katika udumishaji mila usingizi ukakukamata. Kustuka kumekucha. UKIANGALIA SIMU KUNA MISSED CALLS ZAIDI YA 20 ZA WAIFU!! Kichwa kinakuuma unaamua kupiga mahesabu.

Unaenda kituo cha polisi unawahonga buku kumi wakuweke lupango. Unampigia infidelator mwenzako Teamo aje akutoe lupango. Kwa kuwa ushampa habari kamili, yeye amnapitia kwa wife anaongozana naye kituoni. Waifu anawahonga polisi ili wakutoe. safari ya kurudi home kwa mafanikio inatimia.

Kilichokufanya uswekwe ndani waifu ataambiwa mkiwa kwenye tabenako. Kesi kwisha..............:closed_2:

aaaah umenichekesha sana
 
Hapo nakubali kwamba 'shoe shiner' alinizidi upeo....hapatikani (BTW: kulikua na wizi aina hii hapa bongo...mwizi anapita bar kujifanya shoe shiner...na huyu ndo alinikamata na mie).:closed_2:

hivi hamtuonei huruma wenzenu jamani! sasa na wewe hicho kidada cha chuo c kukuchuna tu kwani kuna la ziada, hivi mnafikiriaga kuwa wanawapenda kweli....yaani mie nikilikuta naharibu jumla, nita pluc hiki na kile then naharibu kabisa....ole wake.
 
....daaaah, nimecheka sana. Kuna watu wamedata hapa duniani...ha ha ha!
Asprin hiyo ya kujipeleka Lupango powa sana aisee, ha ha ha...usingizi hauna adabu hata kidogo. Roya Roy wajanja walivyokwapua Skuna na story ya shoe shiner umeniacha hoi kweli kweli...!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom