Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,502
- 6,403
Wakuu
Nimekaa nautafakari mwaka 2023 hapa Tanzania na matukio yake,
1. Tukio la ufunguzi wa African Football league
Hili ndilo tukio lilitikisa nchi, Simba wababe wa soka la Africa waliwakaribisha wababe wenzao kufungua michuano hii na dunia yote ilikuwepo Tanzania
2. DP world na issue zake za bandari inashika namba mbili
Hapa tulikutana mpaka na waraka wa maaskofu tukitushwa nchi inauzwa lakini hola
3. Comeback ya Paul Makonda, tangu apewe uenezi huko nchi na siasa zake ilitikisika
4. Simba kupigwa mabao matano na Yanga hii sikuamini macho yangu kwani sikuweza hata kula
Hakika 2023, ilitikisa Kwa namba yake
Nimekaa nautafakari mwaka 2023 hapa Tanzania na matukio yake,
1. Tukio la ufunguzi wa African Football league
Hili ndilo tukio lilitikisa nchi, Simba wababe wa soka la Africa waliwakaribisha wababe wenzao kufungua michuano hii na dunia yote ilikuwepo Tanzania
2. DP world na issue zake za bandari inashika namba mbili
Hapa tulikutana mpaka na waraka wa maaskofu tukitushwa nchi inauzwa lakini hola
3. Comeback ya Paul Makonda, tangu apewe uenezi huko nchi na siasa zake ilitikisika
4. Simba kupigwa mabao matano na Yanga hii sikuamini macho yangu kwani sikuweza hata kula
Hakika 2023, ilitikisa Kwa namba yake