i-77
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 724
- 806
Mwaka 2018 ulikua na mengi ya kushangaza, kuudhi, kuchekesha na kustaajabisha......ni lipi lilikua tukio kali zaidi kwa upande wako unaweza ku share nasi jukwaani mi naanza na hili na la samaki
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app