Matukio ya kisiasa yaliyotikisa 2022

saidoo25

JF-Expert Member
Jul 4, 2022
602
1,407
Mwaka 2022 unakabiria kufikia ukingoni, tufanye tathmini ya matukio ya kisiasa yaliyotikisa mwaka 2022 ambayo yaliingia kwenye mjadala mkubwa wa kitaifa.

1. Tukio la Spika wa Bunge, Job Ndugai aliyechaguliwa kikatiba kujiuzulu

2. Mbunge Luhaga Mpina kuibana Serikali bungeni kwenye mambo yanayowagusa wananchi mfano Mfumko wa Bei, kukatika kwa umeme, Kupanda kwa bei ya mafuta, mgogoro wa bei ya mbolea na Deni la Taifa ambapo hadi mwaka unaisha Serikali haijashughulikia matatizo hayo

3. Mpina kukatwa jina na vikao vya CCM kugombea nafasi ya NEC licha ya wagombea kuteuliwa karibu 170

4. Dkt. Bashiru Ally kuwataka wakulima wadai haki waache kusifu na kushukuru akashambuliwa na kina Kigwa, Lusinde na Msukuma

5. Lukuvi na Simbachawene kushindwa NEC

Mengine tuendelee
 
Mwaka 2022 unakabiria kufikia ukingoni, tufanye tathmini ya matukio ya kisiasa yaliyotikisa mwaka 2022 ambayo yaliingia kwenye mjadala mkubwa wa kitaifa.

1. Tukio la Spika wa Bunge, Job Ndugai aliyechaguliwa kikatiba kujiuzulu

2. Mbunge Luhaga Mpina kuibana Serikali bungeni kwenye mambo yanayowagusa wananchi mfano Mfumko wa Bei, kukatika kwa umeme, Kupanda kwa bei ya mafuta, mgogoro wa bei ya mbolea na Deni la Taifa ambapo hadi mwaka unaisha Serikali haijashughulikia matatizo hayo

3. Mpina kukatwa jina na vikao vya CCM kugombea nafasi ya NEC licha ya wagombea kuteuliwa karibu 170

4. Dkt. Bashiru Ally kuwataka wakulima wadai haki waache kusifu na kushukuru akashambuliwa na kina Kigwa, Lusinde na Msukuma

5. Lukuvi na Simbachawene kushindwa NEC

Mengine tuendelee
Mabehewa ya SGR KUWA YA MGR
 
Kuongopewa kwamba wazuri hawafi na mgosi Mmoja wa kaya wakati kifo hakiangalii sura, umbo,tabia Wala Mali ulizinazo .
 
mawaziri waongo hasa wanapotakiwa kutoa ufafanuzi wa maswala muhimu ya kitaifa.wanadanganya wakati mwingine na Rais akiwepo anasikiliza.
 
*Mabehewa kushtukiwa yakapelekwa kigoma kusafirisha !
*turudi burundi alisikika mwiguru
*majaliwa kaokoa ndege japo si muokoaji
*msimu wa majenereta na kipara msambaza gesi kabla jina kuwa january ndio jina lake.
*team magu vs team msoga
*wakulima wamechachamaa wa kizungu wakikamata ndege.
 
CCM ni hatariii
Screenshot_2022-12-16-11-46-55-675_com.twitter.android.jpg
 
Mwaka 2022 unakabiria kufikia ukingoni, tufanye tathmini ya matukio ya kisiasa yaliyotikisa mwaka 2022 ambayo yaliingia kwenye mjadala mkubwa wa kitaifa.

1. Tukio la Spika wa Bunge, Job Ndugai aliyechaguliwa kikatiba kujiuzulu

2. Mbunge Luhaga Mpina kuibana Serikali bungeni kwenye mambo yanayowagusa wananchi mfano Mfumko wa Bei, kukatika kwa umeme, Kupanda kwa bei ya mafuta, mgogoro wa bei ya mbolea na Deni la Taifa ambapo hadi mwaka unaisha Serikali haijashughulikia matatizo hayo

3. Mpina kukatwa jina na vikao vya CCM kugombea nafasi ya NEC licha ya wagombea kuteuliwa karibu 170

4. Dkt. Bashiru Ally kuwataka wakulima wadai haki waache kusifu na kushukuru akashambuliwa na kina Kigwa, Lusinde na Msukuma

5. Lukuvi na Simbachawene kushindwa NEC

Mengine tuendelee
Ktk orodha yako hii tukio ni moja tu (no. 1). Mengine haya ni vijomambo tu.

Mwaka 2021 ndiyo ilikuwa kiboko. Jiwe kupelekwa kuzimu! Natamani ijirudie afe tena.
 
Back
Top Bottom