DE FULE
JF-Expert Member
- Jan 10, 2013
- 1,214
- 704
Usiseme asingeshinda!!
Kama ingekuwa hivyo kwanini tulienda kwenye uchaguzi?? Kwanini hayo mabilioni wasiingeenda kuanzishia miradi badala ya kuwekekeza kwenye kutaka mamlaka ya wananchi??
Kama ni hivyo kwa nini aibiwe kura zake??? Kwa nini umuibie kura mtu ambaye una uhakika wa kumshinda???
Pigeni kura kwa wingi kazi ya kumtangaza mshindi niachieni mimi!
ENL