Elections 2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

Usiseme asingeshinda!!

Kama ingekuwa hivyo kwanini tulienda kwenye uchaguzi?? Kwanini hayo mabilioni wasiingeenda kuanzishia miradi badala ya kuwekekeza kwenye kutaka mamlaka ya wananchi??

Kama ni hivyo kwa nini aibiwe kura zake??? Kwa nini umuibie kura mtu ambaye una uhakika wa kumshinda???

Pigeni kura kwa wingi kazi ya kumtangaza mshindi niachieni mimi!

ENL
 
Watanzania gani? Kama ni Watanzania wamepiga hizo kura mnazotangaza kwa nini mnakataza watu wasijumlishe matokeo ya vituoni? Mnaficha nini?

Kwa nini hamtumiii nakala za mawakala zilizosainiwa kwenye majimbo kupata jumla ya kura zilizopigwa badala yake mnatunga za kwenu?

Wengine mtakufa kwa dhambi za ujinga.

Ingieni msituni!
 
Ndugu wanazuoni wenzangu pamoja na makandokando na rafu nyingi kuchezwa kwenye uchaguzi wa mwaka huu ningependa nijue kila chama nimechukua viti vingapi vya ubunge.
 
ndugu wanazuoni wenzangu pamoja na makandokando na rafu nyingi kuchezwa kwenye uchaguzi wa mwaka huu ningependa nijue kila chama nimechukua viti vingapi vya ubunge.

Majimbo ya uchaguzi yako 264 yaliyopigiwa kura

CCM imepata viti 217

UKAWA viti 46

ACT wazalendo kiti 1
 
Majimbo ya uchaguzi yako 264 yaliyopigiwa kura

CCM imepata viti 217

UKAWA viti 46

ACT wazalendo kiti 1
Ni kweli mbona kuna majimbo kama sio 5 basi ni 6 hayapiga kura ya ubunge,na kwa hesabu yako 217+46+1= 264?
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom