maya empire
Member
- Mar 24, 2017
- 75
- 80
1:Sokoine pale dakawa Morogoro,dereva wake alipona
2:Chacha Wangwe pale Dodoma dereva wake alipona
3:Mchungaji Mtikila katika ajari,dereva wake alipona
4:Tundu Lissu apigwa lisasi za kutosha,dereva wake hana hata kovu
Hivi hawa madereva Wa mabosi wetu,huwa wanamalaika Wa aina gani tofauti na mabosi wao?
Ongeza ajali au mashambulizi unayoyafahamu ambayo madreva walipona
2:Chacha Wangwe pale Dodoma dereva wake alipona
3:Mchungaji Mtikila katika ajari,dereva wake alipona
4:Tundu Lissu apigwa lisasi za kutosha,dereva wake hana hata kovu
Hivi hawa madereva Wa mabosi wetu,huwa wanamalaika Wa aina gani tofauti na mabosi wao?
Ongeza ajali au mashambulizi unayoyafahamu ambayo madreva walipona