Matukio haya iweje yatokee siku moja?

Matukio haya iweje yatokee siku moja?

Kingunge kasema ''Vijana wengi wanataka mabadiriko isipokuwa kakundi kadogo ka uvccm kanakotumikia mafisadi''

= mabadiliko

Kuondoka kwa Kingunge kulitegemewa siku nyingi sana na wala si "surprise".
 
Ogopa!unamtukuna mtu hakujibu,unasema mwizi yeye kimnya,kajinyea,mgonjw,fisadi kimya yeye ananadi sera zake,Mungu huwa anasaidia kujibu,biblia inasema,usihukumu nawe ukaja ukahukumiw,hakuna cha kushangaa hapo,ni malipo ya matusi!

Chadema nao mungu aliwalipa nini kwa kumchafua Lowassa?
 
jumuisha na tukio la man utd kufungwa na arsenal kwa nn iwe leo pia
 
Yule mzee aliongea vibaya sana na tatizo yule mzee alikua anajifanya anajua kila kitu lakini hakujua siku yake ya kufa na atakufeje. Kwa watu wenye imani kali wanaamini maneno ni maumbaji na watu wa israeli zamani waliamini mambo mabaya yote yanayo tokea ni matokeo ya dhambi na yule mzee alifanya zambi kubwa sana kwa mungu.

Mungu gani huyo wa ajabu ajabu mnaemuongelea yani kaacha kuwachukua boko haram wanaoua watu wasiokuwa na hatia amekuja TZ kuchukua watu waliodhihaki afya ya mgombea wenu. Akili ni nywele . . . .
 
Kuuawa kwenye ajali kwa Mch Mtikila na Kingunge kutangaza kujitoa ccm! Je yametokea by coincidence au yameratibiwa kitaalam! Nawaza tu.

Unao Ushahidi Kuwa Ameuawawa? Nani Aliyemuua? Na Kwa Sababu Zipi? Upo Tayari Kuisaidia Polis Kupata Huo Ushahidi Wako Wa Kuuliwa Kwa Mtikila?
 
Nakumbuka kuna mtu aliingia kwenye matatizo kidogo kwa kuita marehemu mzoga nimemsahau kidogo.
 
Mungu gani huyo wa ajabu ajabu mnaemuongelea yani kaacha kuwachukua boko haram wanaoua watu wasiokuwa na hatia amekuja TZ kuchukua watu waliodhihaki afya ya mgombea wenu. Akili ni nywele . . . .

Ni kweli Mungu ni wa ajabu sana ndio maana utashangaa kuona watu wanaopendwa sana wanakufa lakini wale wabaya ambao hata jamii haitaki kuwaona wanaendelea kudunda. Huyo ni Mungu, tunayotaka au tunavyowaza sisi sio kama yeye, anafanya anavyotaka yeye. Hao waliokufa wala sio sababu ya kudhiaki afya ya Lowassa, hata wasingefanya hivyo Mungu akishapanga yake hakuna wa kuzuia. Binadamu tunasema tu kwa kuwa tuna midomo na hatulipii kusema kwetu, na ni vigumu kuzuia hisia, mawazo na matamshi jambo linapotokea. Kila mtu atasema lake
 
Lakin kwenye gari si alikuwa na wenzie watatu? wao wanasrmaje? wanasema mwemzao aliuawa?
 
Back
Top Bottom