Matukio haya iweje yatokee siku moja?

Matukio haya iweje yatokee siku moja?

Lowasa hataingia ikulu kwa dhuluma za maisha, waacheni watu wafe kwa mipango ya Mungu.

Tumia akili kidogo, hakuna binadamu anayekufa kwa mpango wa binadamu mwenzake. Kama ni hivyo basi Mungu amenyang'anywa uwezo wake na hao wanaopanga vifo vya binadamu wenzao!
 
Kuuawa kwenye ajali kwa Mch Mtikila na Kingunge kutangaza kujitoa ccm! Je yametokea by coincidence au yameratibiwa kitaalam! Nawaza tu.

Ukawa wenzako tangu asubuhi wanasema vifo hivyo ni nguvu za Lowasa haya tujiulize kwa nini atumie nguvu za namna hii kupata urais?

Inasikitisha sana unapoandika kitu kwa ushabiki!
 
Kesi yake ya kumshitaki manvi kuwa anaumwa so hana haki ya kugombea kwa sababu ni mgonjwa na hivyo hataweza kuishi mda mrefu. Hata kombani alisema mwache mzee akafie chadema lakini leo kafa yeye.
Yule mzee aliongea vibaya sana na tatizo yule mzee alikua anajifanya anajua kila kitu lakini hakujua siku yake ya kufa na atakufeje. Kwa watu wenye imani kali wanaamini maneno ni maumbaji na watu wa israeli zamani waliamini mambo mabaya yote yanayo tokea ni matokeo ya dhambi na yule mzee alifanya zambi kubwa sana kwa mungu.
 
Kwa binadamu ni maiti. Kutumia mzoga ni kukosa ustaarabu!

Huo ustaarabu alikosa yeye mwenyewe marehemu mtikila kumuambia atamshitaki lowasa eti kisa anaumwa inamaana yeye alijua mungu mjomba yake.
 
Mkuu una akili sana,conspiracy theory,unaunganisha dots tu....ur a great thinker,time will tell,autopsy
 
Mwendo kasi umechangia, ukiachia mbali libarabara la chalinze lilivyolibovu hakuna jambo lingine.
 
Kuuawa kwenye ajali kwa Mch Mtikila na Kingunge kutangaza kujitoa ccm! Je yametokea by coincidence au yameratibiwa kitaalam! Nawaza tu.

Kingunge alishapanga kuongea na wanachi, Mtikila hakupanga kupata ajali leo, so hayakupangwa wala kuratibiwa, iwe kitaalam au sio kitaalam
 
Kuuawa kwenye ajali kwa Mch Mtikila na Kingunge kutangaza kujitoa ccm! Je yametokea by coincidence au yameratibiwa kitaalam! Nawaza tu.
Kingunge alishapanga kuongea na wanachi, Mtikila hakupanga kupata ajali leo, so hayakupangwa wala kuratibiwa, iwe kitaalam au sio kitaalam
 
Mzoga wa Mtikila hauwezi kusimamisha matukio mengine ambayo yamepangwa ama hayakupangwa!!
 
Kuuawa kwenye ajali kwa Mch Mtikila na Kingunge kutangaza kujitoa ccm! Je yametokea by coincidence au yameratibiwa kitaalam! Nawaza tu.

Wew ndo mungu unayepanga vifo vya watu..acha siasa kwenye shughuri za mungu..mbona mnakuwa kama matoto
 
Kuuawa kwenye ajali kwa Mch Mtikila na Kingunge kutangaza kujitoa ccm! Je yametokea by coincidence au yameratibiwa kitaalam! Nawaza tu.
Kwa mawazo haya lazma wewe ni kilaza
Uki muulize mungu kwa Imani atakujibu ila kiubinadam ni mawazo machafu ya kuleta uchochezi
matukio yote haya vile kingunge anamuunga mkono lowassa basi tatizo
 
Inakuwaje Mungu akatupa mchana kuwa nuru na usiku kuwa giza?

Kuuawa kwenye ajali kwa Mch Mtikila na Kingunge kutangaza kujitoa ccm! Je yametokea by coincidence au yameratibiwa kitaalam! Nawaza tu.
 
Kuuawa kwenye ajali kwa Mch Mtikila na Kingunge kutangaza kujitoa ccm! Je yametokea by coincidence au yameratibiwa kitaalam! Nawaza tu.
Mkuu una akili sana,conspiracy theory,unaunganisha dots tu....ur a great thinker,time will tell,autopsy

Mawazo ya kichwawi hayo, ndio maana mnajihusisha na mauaji ya albino kwa ushirikina wenu!
 
Ogopa!unamtukuna mtu hakujibu,unasema mwizi yeye kimnya,kajinyea,mgonjw,fisadi kimya yeye ananadi sera zake,Mungu huwa anasaidia kujibu,biblia inasema,usihukumu nawe ukaja ukahukumiw,hakuna cha kushangaa hapo,ni malipo ya matusi!
 
Na arsenal kumfunga man u tatu bila......ukawa wanahusika asee
 
Back
Top Bottom