Kuuawa kwenye ajali kwa Mch Mtikila na Kingunge kutangaza kujitoa ccm! Je yametokea by coincidence au yameratibuwa kitaalam! Nawaza tu.
Kwani MTIKILA kafa?siwezi kuamini hadi na yeye nioene mzoga wake unafukiwa.Kuuawa kwenye ajali kwa Mch Mtikila na Kingunge kutangaza kujitoa ccm! Je yametokea by coincidence au yameratibiwa kitaalam! Nawaza tu.
shuts your mouth "k"
hajauwawa!/
amefariki ajalini!!!
why you.........
Ndo ujue mungu hadhihakiwi
Kuuawa kwenye ajali kwa Mch Mtikila na Kingunge kutangaza kujitoa ccm! Je yametokea by coincidence au yameratibiwa kitaalam! Nawaza tu.