sizya007
JF-Expert Member
- Sep 9, 2013
- 416
- 210
Mwendo kasi umechangia, ukiachia mbali libarabara la chalinze lilivyolibovu hakuna jambo lingine.
Barabara za waziri wa ujenzi...
Mwendo kasi umechangia, ukiachia mbali libarabara la chalinze lilivyolibovu hakuna jambo lingine.
Barabara za waziri wa ujenzi...
Kwa binadamu ni maiti. Kutumia mzoga ni kukosa ustaarabu!
Hamjamuelewa jamaa. Mtikila mwenyewe alitamka kwamba ataishtaki serikali ya Mkapa kwakutumia kodi ya walalahoi kusafilisha mzoga wa Nyerere.
Aidha mmesahau kamailivo kawaida yenu watanzania, au mlikuwa watoto hamjui hiloneno mzoga kama Mtikila huyohuyo anayependwa nawana Ccm leo kisa kawasaidia kumsema vbya Lowasa, nenohilo hilo lilitamkwa na Mtikila huyuhuyu dhidi muasisi no1 wa Ccm.
Kuuawa kwenye ajali kwa Mch Mtikila na Kingunge kutangaza kujitoa ccm! Je yametokea by coincidence au yameratibiwa kitaalam! Nawaza tu.
MZOGA????
Hazikutoshi
Kwani MTIKILA kafa?siwezi kuamini hadi na yeye nioene mzoga wake unafukiwa.
Wamemchacha Wangwe ni mlinganisho sahihi zaidi kwani hata mazingira ya kifo yanafanana fanana. Angekuwa amefia nje na kuzikwa kinyemela ndo tungesema amedaudi balaliwa!Unamaana wame mdaudi balali?
Ukawa wenzako tangu asubuhi wanasema vifo hivyo ni nguvu za Lowasa haya tujiulize kwa nini atumie nguvu za namna hii kupata urais?
Kuuawa kwenye ajali kwa Mch Mtikila na Kingunge kutangaza kujitoa ccm! Je yametokea by coincidence au yameratibiwa kitaalam! Nawaza tu.
Kuuawa kwenye ajali kwa Mch Mtikila na Kingunge kutangaza kujitoa ccm! Je yametokea by coincidence au yameratibiwa kitaalam! Nawaza tu.
Kuuawa kwenye ajali kwa Mch Mtikila na Kingunge kutangaza kujitoa ccm! Je yametokea by coincidence au yameratibiwa kitaalam! Nawaza tu.