Matokeo ya utafiti kutoka Ubongo Plaza; CHADEMA kushinda Kinondoni kwa 54.8%, CCM 45.2%. Jimbo la Siha CCM kushinda

Matokeo ya utafiti unaoendelea kusomwa muda huu na taasisi ya EARC (East Africa Research Center) imeonyesha Mgombea wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo katika jimbo la Kinondoni Ndg. Salum Mwalimu iwapo uchaguzi utafanyika leo ataibuka mshindi kwa asilimia 54.8%, Huku mgombea wa CCM Ndg. Said Mtulia akiambulia asilimia 45 za kura zote..

Kutokana na taasisi hiyo ambayo imefanya hojaji kwa watu 800, imeonekana idadi ya wapiga kura itashuka kutoka 83.6% (2015) mpaka asilimia 62.4%

Ndugu Paulo ambaye ni mtafiti mwandamizi kasema matokeo pia yanaonyesha kwa upande wa Siha mgombea wa CCM atashinda kwa asilimia 60~65 kwa makadirio ya juu na chini...

"Wananchi wengi wa Kinondoni hasa wamama, vijana na wazee wa hali ya kawaida wengi wao waliohojiwa walionyesha kukerwa kwao na Mtulia kuachia nafasi ambayo alikuwa nayo awali, kisha anagombea tena" sehemu ya tafiti huo unaeleza
Yahani wachaga wa Siha ndo hawajakeleka na upuuzi wa mgombea wa ccm?, Wachaga wamekuwaje siku hizi?
 
Huu utafiti una baraka za Magogoni na wameshaona Kinondoni ni ngumu hivyo huenda wakakubali matokeo lakini kwa jimbo la Siha wamejipanga kushinda hata kwa goli la mkono.

Kwa kifupi hawako tayari kupata aibu ya kushindwa katika majimbo yote hivyo wameona Siha wakikoma wanaweza kufanya yao kuliko Kinondoni na lengo la huu utafiti ni kuwaandaa watu kisaikolojia na kutoa justfication ya matokeo ya hizi chaguzi mbili.
Mzee baba, nimefurahishwa na comment yako, ukanifukulia na 'kaburi' la goli la mkono!
Hivi huyo 'founder' wa hiyo 'moto', yuko wapi sikuhizi?
Na binadamu tusivyopenda kuchomewa mkuki uleule tuliotumia kuchomea nguruwe!
Nadhani atakuwa kajifunza kitu huko kokote aliko.
Na kamwe, hataweza tena kuja kubabanganya na kuleta ngebe zake kwa watu dizaini ya mfano wa sura ya Mungu.
 
Huu utafiti unaweza kusababisha vurugu maana ni kama Chadema wanaenda kupiga kura wakiwa na matokeo ya uchaguzi. Kwahyo matokeo yakitoka tofauti utata utaanzia hapo
 
Matokeo ya utafiti unaoendelea kusomwa muda huu na taasisi ya EARC (East Africa Research Center) imeonyesha Mgombea wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo katika jimbo la Kinondoni Ndg. Salum Mwalimu iwapo uchaguzi utafanyika leo ataibuka mshindi kwa asilimia 54.8%, Huku mgombea wa CCM Ndg. Said Mtulia akiambulia asilimia 45 za kura zote..

Kutokana na taasisi hiyo ambayo imefanya hojaji kwa watu 800, imeonekana idadi ya wapiga kura itashuka kutoka 83.6% (2015) mpaka asilimia 62.4%

Ndugu Paulo ambaye ni mtafiti mwandamizi kasema matokeo pia yanaonyesha kwa upande wa Siha mgombea wa CCM atashinda kwa asilimia 60~65 kwa makadirio ya juu na chini...

"Wananchi wengi wa Kinondoni hasa wamama, vijana na wazee wa hali ya kawaida wengi wao waliohojiwa walionyesha kukerwa kwao na Mtulia kuachia nafasi ambayo alikuwa nayo awali, kisha anagombea tena" sehemu ya tafiti huo unaeleza
Ubongo plaza iko mkoa gani mkuu?
 
Huu utafiti una baraka za Magogoni na wameshaona Kinondoni ni ngumu hivyo huenda wakakubali matokeo lakini kwa jimbo la Siha wamejipanga kushinda hata kwa goli la mkono.

Kwa kifupi hawako tayari kupata aibu ya kushindwa katika majimbo yote hivyo wameona Siha wakikoma wanaweza kufanya yao kuliko Kinondoni na lengo la huu utafiti ni kuwaandaa watu kisaikolojia na kutoa justfication ya matokeo ya hizi chaguzi mbili.
Kwelu mkuu, hata mimi nimeshaona wameangalia upepo wakaona hali si shwari upande wao, wakaona bora wafanye pre-emptying ili hata wakiiba kule Siha kuwe na neutralization in justification.
 
Huu utafiti unaweza kusababisha vurugu maana ni kama Chadema wanaenda kupiga kura wakiwa na matokeo ya uchaguzi. Kwahyo matokeo yakitoka tofauti utata utaanzia hapo
Mkuu hayo ni mambo ya utafiti na utafiti hauleti matikeo asilimia 100%
 
Unaruhusiwa kuamini propaganda Ila huruhusiwi kulazimisha hizo propaganda zako wengine waziamini kwa kuwa Wewe umeamini bila ya kuweka ushahidi reliable
Ushahidi slaa alikuwa nao mbona na fomu za mawakala nchi nzima ila aliishia kuzitolea povu kwenye press conference lakini kwa kuwa katiba haitoi fursa kwa matokeo kupingwa mahakamani ndio maana mmeishia kuita ni propaganda

So funny
 
Ushahidi slaa alikuwa nao mbona na fomu za mawakala nchi nzima ila aliishia kuzitolea povu kwenye press conference lakini kwa kuwa katiba haitoi fursa kwa matokeo kupingwa mahakamani ndio maana mmeishia kuita ni propaganda


Slaa ni Mwanasiasa na Kila asemacho Mwanasiasa sio lazima kuamini
 
Kweli akili yako ni ya kutembeza mwenge .Hivi hao wanaopigana congo, Syria ,South Sudan nk walipigana siku moja??

Unajilinganisha na hao wanaopigana wakati Wewe ulishindwa kukaa mita 200 kutoka kilipo kituo chako cha kupigia kura 2015, ukiambiwa kavamie Kambi ya Jeshi si mavi yatajaa kwenye pajama lako!
 
Unajilinganisha na hao wanaopigana wakati Wewe ulishindwa kukaa mita 200 kutoka kilipo kituo chako cha kupigia kura 2015, ukiambiwa kavamie Kambi ya Jeshi si mavi yatajaa kwenye pajama lako!

Mimi nimeshindwa kukaa Mita 200 Kwa sababu huu si uchaguzi ni uchafuzi !!! Uchaguzi mpaka uvamie kambi ya jeshi ?? au bado unaita uchaguzi?? By the way ulishatoa mchango wa mafuta ya mwenge??
 
Back
Top Bottom