KIJOME
JF-Expert Member
- Jun 7, 2012
- 3,084
- 732
Tumueni akili kufikiria na sio makalio kama mnayotumia magamba,hv hao wenye haki ya kupiga kura tangu mwaka 2010 kwa nini hawajaandikishwa?Kumbuka kila lenye mwanzo lina mwisho mtakwepa haki za watu ila ipo siku watazidai.Mkuu wapi Saa nane, Yericko...........waliweka kambi iringa kwenye kata za Nduli na Ibumu...........wamepata habari yao walifikiri kuandika uongo JF ndio siasa.............sasa wamegundua kwamba mtu kupata ushawishi kwenye siasa sio masihara!