TOHATO
JF-Expert Member
- Dec 18, 2016
- 1,170
- 3,775
Miaka ile hakuna kitu kilikuwa cha mshtuko kama usikie matokeo.
Matokeo yakitangazwa lazima siku mbili tatu uskie wawili watatu wamejinyonga mwingine mara kanywa sumu.
Ila sa hivi hata hupati habari ya kuna aliejaribu kujiuwa.
Ni kawaida sana kipindi kile kukuta familia nzima na mwanafunzi wakilia kisa mwanafunzi kafeli au wazazi wanamfanyie sherehe kisa mtoto kafaulu ya kwenda UALIMU (four au three ya mwisho)
Ila leo hata yaezekana tanzania one kwao hapafanyiki sherehe yoyote.
Matokeo yakitangazwa lazima siku mbili tatu uskie wawili watatu wamejinyonga mwingine mara kanywa sumu.
Ila sa hivi hata hupati habari ya kuna aliejaribu kujiuwa.
Ni kawaida sana kipindi kile kukuta familia nzima na mwanafunzi wakilia kisa mwanafunzi kafeli au wazazi wanamfanyie sherehe kisa mtoto kafaulu ya kwenda UALIMU (four au three ya mwisho)
Ila leo hata yaezekana tanzania one kwao hapafanyiki sherehe yoyote.