Greater thinker
JF-Expert Member
- Sep 12, 2011
- 286
- 38
Nimebahatika kuiona formation mpya ya masomo kadhaa ya mtihani wa form IV,..
Kote sina neno ila tatizo lipo katka mtihani wa chemistry ambapo nimeona kila sababu ya wanafunzi wengi kufanya vibaya somo hili..
1.KUONGEZEKA KWA MASWALI MENGI
hapo awali ktk section B Kulikuwa na jumla ya alama 60 na maswali 6 ie kila swali moja marks 10 ila sasa section B ni marks 54 maswali 9 ie kila swal marks 6.,sasa hapo tofauti imeonekana kuwa maswal yamezd marks zmepungua...na kuwa co rahsi mwanafunz kumalza kujbu maswal yote kwa 7b ya muda,..
2.PRACTICAL KUONGEZWA MASWAL
sanasana kwa wanafunz wa science huwa wanategemea sana practical kuwaokoa kwa kuwa n rahis lakn mara hi c rahc tena kwa kemia...maswal ya practical hapo nyuma yalikuwa n matatu zen unachagua mawili lakn kwa sasa unafanya maswal yote matatu na muda ukiwa n ule ule wa awali ambao n masaa mawili na nusu..nmebahatka kuongea na wanafunz wa azania&st.anthony nao pia wamelalamikia hi ishu baada ya kuikuta formatn hyo mpya kwny pepa zao za MOCK..sasa kama shule kubwa km hz hapa Dsm znalalamka je hao wa shule za kata?..2liangalien hil wadau wa elimu(sayansi)
nawasilisha
Kote sina neno ila tatizo lipo katka mtihani wa chemistry ambapo nimeona kila sababu ya wanafunzi wengi kufanya vibaya somo hili..
1.KUONGEZEKA KWA MASWALI MENGI
hapo awali ktk section B Kulikuwa na jumla ya alama 60 na maswali 6 ie kila swali moja marks 10 ila sasa section B ni marks 54 maswali 9 ie kila swal marks 6.,sasa hapo tofauti imeonekana kuwa maswal yamezd marks zmepungua...na kuwa co rahsi mwanafunz kumalza kujbu maswal yote kwa 7b ya muda,..
2.PRACTICAL KUONGEZWA MASWAL
sanasana kwa wanafunz wa science huwa wanategemea sana practical kuwaokoa kwa kuwa n rahis lakn mara hi c rahc tena kwa kemia...maswal ya practical hapo nyuma yalikuwa n matatu zen unachagua mawili lakn kwa sasa unafanya maswal yote matatu na muda ukiwa n ule ule wa awali ambao n masaa mawili na nusu..nmebahatka kuongea na wanafunz wa azania&st.anthony nao pia wamelalamikia hi ishu baada ya kuikuta formatn hyo mpya kwny pepa zao za MOCK..sasa kama shule kubwa km hz hapa Dsm znalalamka je hao wa shule za kata?..2liangalien hil wadau wa elimu(sayansi)
nawasilisha