Matokeo ya mikopo ya chuo kikuu yanatuchanganya

Geoff

New Member
Sep 21, 2012
1
0
Ndugu zangu wasomi.....
Huu ni waraka wangu kwenu kuwatakia subira manake wiki sasa inakaribia kukatika bila
y kujua muamala wetu km tumepata mkopo au lah...!!!! Bodi y mikopo inapaswa kutambua ni
jinsi gan wananchi tulivyokuwa na presha y kutaka kujua mbichi na mbivu...!!!! na hapa
dunian hakuna kitu kigumu km kusubir matokeo au majib y kitu chochote kile.......Hivyo Bodi
y Mikopo inapaswa kujipanga ili kuondoa lawama na chuki kutoka kwa wanafunzi......a.k.a
Wasomi wa Nchi hii.........
Yangu ni hayo 2 wajamen.....
Mwanazuon, Udom
 
Ndugu zangu wasomi.....
Huu ni waraka wangu kwenu kuwatakia subira manake wiki sasa inakaribia kukatika bila
y kujua muamala wetu km tumepata mkopo au lah...!!!! Bodi y mikopo inapaswa kutambua ni
jinsi gan wananchi tulivyokuwa na presha y kutaka kujua mbichi na mbivu...!!!! na hapa
dunian hakuna kitu kigumu km kusubir matokeo au majib y kitu chochote kile.......Hivyo Bodi
y Mikopo inapaswa kujipanga ili kuondoa lawama na chuki kutoka kwa wanafunzi......a.k.a
Wasomi wa Nchi hii.........
Yangu ni hayo 2 wajamen.....
Mwanazuon, Udom

Yanachanganya kivipi? Si yametoka majina yanasomeka. Weka vizuri post yako, hujaeleweka ulikusudia kutoa ujumbe upi, though unaonekana una ujumbe mzito wa kutoa.
 
Back
Top Bottom