gumboot
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 263
- 93
Amah kweli MICHEPUKO sio dili.
Amechanwa viwembe na mwenye mume kwa kosa la kuishi mpaka kazaa na mumewe...
Kiukweli hawa wanawake wote wana makosa..huyu kuchukua hatua mikononi na huyu kuchukua mme wa mtu...kazi ipo wapenda michepuko ongezi maujanja ya kujificha.
Watu wanahasira zao na nina hisi angekua na kisu angemchoma hadi kumuua.
Amechanwa viwembe na mwenye mume kwa kosa la kuishi mpaka kazaa na mumewe...
Kiukweli hawa wanawake wote wana makosa..huyu kuchukua hatua mikononi na huyu kuchukua mme wa mtu...kazi ipo wapenda michepuko ongezi maujanja ya kujificha.
Watu wanahasira zao na nina hisi angekua na kisu angemchoma hadi kumuua.